mayai ya kuku kienyeji na chotara

tino k tino

New Member
May 20, 2017
2
0
Salamu zenu wanajamii wote. hongereni na ujasiriamali. mimi ni mfugaji mdogo, (kuku chotara na kienyeji) nipo makao makuu ~ Dodoma mjini. ninauza mayai ya kuku chotara na kienyeji kwa bei nafuu kabisa! kwa anayehitaji tuwasiliane kwa:email gxnrio@yahoo.com, simu: 0764 227 692 au 0621 032 792. Asanteni,
 
Back
Top Bottom