mayai ya kichina,tutakoma

mayai ya kichina,tutakoma

abdalah

Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
45
Reaction score
18
Mayai ya kichina,unanunua kwa kilo




534852_3614634415369_1559086810_3058616_1713208017_n.jpg
 
Duuuh,tunakula sumu nyingi miaka hii.
 
haya nmeyapenda sana. yanauzwa wapi?
 
Duh kwa staili iyo umri wa kuishi kwa mtanzania utapungua mpaka kufikia miaka 45 kwisha.
 
yanauzwa yamechemshwa?? itakuwaje kwenye kupika kiepe yai ??
 
Back
Top Bottom