Mayahudi wazomewa kila pembe ya dunia

bwana Mkojani naona povu sanaaa wewe na wakojani wenziwe hamtaifanyaa chochote taifa teule ,mnapiga ramli tuu za kiganga wa pembaa ,hata mipige kelele hakuna kitu mtafanyaaa ,soon utaskia ULAYA WOTE WANAIUNGA MKONO
 
bwana Mkojani naona povu sanaaa wewe na wakojani wenziwe hamtaifanyaa chochote taifa teule ,mnapiga ramli tuu za kiganga wa pembaa ,hata mipige kelele hakuna kitu mtafanyaaa ,soon utaskia ULAYA WOTE WANAIUNGA MKONO
Tusubiri na utaona hapo baadae hali itakavyowageuka marafiki zako wa kilokole.
 
Tusubiri na utaona hapo baadae hali itakavyowageuka marafiki zako wa kilokole.
Huyo ni kichaa mkuu hata ukitizama hoja zake hazina maana wala mashiko.
Ni mpofu wa ufia dini achana naye atakupotezea muda.
 
Si sahihi kumshambulia mtu yeyote kwa sababu tu serikali fulani huko mbali inafanya jambo usilolipenda. Mimi siwezi kukutana na mchina huku Dodoma, halafu nimshambulie eti kwa sababu serikali ya China imemnynyasa Mtanzania fulani huko Hongkong.
 
Si sahihi kumshambulia mtu yeyote kwa sababu tu serikali fulani huko mbali inafanya jambo usilolipenda. Mimi siwezi kukutana na mchina huku Dodoma, halafu nimshambulie eti kwa sababu serikali ya China imemnynyasa Mtanzania fulani huko Hongkong.
Wewe huwezi na mimi pia.Lakini kwa mayahudi ni jambo la kawaida sana.
 
Ukiona unazomewa ujue ni dalili ya kuonewa wivu na maadui zako.Ni heri kuonewa wivu kuliko kuonewa huruma.Tajiri siku zote huonewa wivu na maskini huonewa huruma🤔
Huyuu Kojani la mwanakwerekwe linatuletea uongo tuu hapaa ili apate attention na bado Israili itawshikisha adamu hadi waombe maji ya bahari ,MASHARIKI YA KATI MWENYE NGUVU ALIYE BAKI NI Iran soon tutamalizana naye tuuu
 
Mi ni Mtanzania na nimezomea,na wewe acha uongo tafuta kazi ufanye.
 
Si sahihi kumshambulia mtu yeyote kwa sababu tu serikali fulani huko mbali inafanya jambo usilolipenda. Mimi siwezi kukutana na mchina huku Dodoma, halafu nimshambulie eti kwa sababu serikali ya China imemnynyasa Mtanzania fulani huko Hongkong.
Hao raia wa Israel mkuu wana fujo.
Hao popote wanapoenda wanafanya fujo.
Spain msimu wa Europa walifanya fujo pia hapo hapo Ugiriki walifanya fujo mwaka huu huu.
Uholanzi nako walifanya fujo wakatandikwa balaa.
Hakuna kizazi cha kipuuzi kama cha kiyahudi.
 
Sasa mbona wewe unawasemea wangine,wewe waongelee familia yako na wazee wako.
Embu mpuuze huyo kichaa hajielewi.
Usijishushe hadhi mkuu kwa kumsikiliza huyo.
 
Hamas ndio walianzisha vita kwa kuwaua mamia kwa mamia ya Wayahudi.
Wapalestina waliandamana kushangilia mauaji yale sasa yanawakuta wao!
Acha wakipate wanachokistahili kama walivyoanza!
 
Hamas ndio walianzisha vita kwa kuwaua mamia kwa mamia ya Wayahudi.
Wapalestina waliandamana kushangilia mauaji yale sasa yanawakuta wao!
Acha wakipate wanachokistahili kama walivyoanza!
Vita haikuanzisha na Hamas.
Utakua ni mpuuzi na FALA kama haukufuatilia mwezi Agosti Israel ilipokua ikivunja nyumba za Khan Younis kupanua makazi ya kizayuni,pia ikipulizia mashamba ya Gaza sumu na mimea kufa.
Pia ikiwakamata watoto chini ya miaka 12 na kuwafunga pasi na mashtaka.
Pia usisahau kabla ya Oktoba 7 Israel alimpiga risasi ya kichwa mwandishi wa habari Sherin Abu Akleh pasi na kosa lolote.
Usidhani watu hawana akili kijana.
 
Siungi mkono mauaji ya gazs, ila Israel ndo kiboko ya ukorofi n dharau ya mwarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…