Maxmalipo, Samsung, hamjawatendea haki Tecno

Hapa ishu sio ubora wa simu, ishu hapa ni maadili ya matangazo ya biashara, hutakiwi kuonesha, kutaja au kuandika jina la mpinzani wako kibiashara unapotengeneza tangazo iwe ya picha (video) au sauti au printed media.
Nadhani Tecno wanaweza kuchukua hatua za kisheria.
 

Siemens na motorola hawajapotea kwa sababu ya tecno, siemens ana deal na vitu vingine motorola aliinunua google na sasa hivi kaiuza kwa lenovo
 
Usiendeshwe kihisia na watu wengine wote hatuwez kumiliki iphone au samsung hata kama ni matajiri.. Fanya kile kinachoufurahisha moyo wako sio mioyo ya wengine..
 
Kimfaacho ntu chake jamani mimi nina Tecno yangu ya line tatu wala sina shida yoyote. Tigo, airlel na voda zote kwa pamoja na zote zina pesa kibao!
 

Mkuu hii post yako imenifanya nicheke peke yangu kama chizi

Ulichosema kina ukweli asilimia kubwa sababu watu wameaminishwa tecno ni vimeo, sasa ili kuondoa hiyo dhana watumiaji wengi wa tecno ukiwauliza unatumia simu gani majibu huwa marefu kweli kujaribu kuonyesha ipo vizuri kuliko inavyo semwa
 
Ubora wa Tecno ni sawa sawa au hata zaidi ya Samsung, ila tatizo letu wabongo tunameza sana. Kamata Phantom Z ndio utajua what I mean here. Samsung ni very expensive for nothing.

Mkuu ongea kwa hoja na ushahidi vinginevyo hizi ni kelele!! Weka specs za kila simu hapa.
 
Samsung ni world brand, tecno imetengenezwa kwa ajili ya watu wasiojiweza

Upo sahihi kabisa, Tecno ni kwa ajili ya watu wa chini kabisa...ubora wake ni mdogo sana...afadhali hata ya Huawei kidogo
 


Utawaweza wa tz kwa mbwembwe kaka
 
Tecno itasubiri sana kwa Samsung. Ni sawa na kulimganisha kiwango cha Ngasa na Messi.
 
economics inasema hivi, A giffen good occurs when a rise in price causes higher demand because the income effect outweighs the substitution effect. Suppose you have a very low income and eat two basic food stuffs rice and meat. Meat is a luxury and is much more expensive than rice.kwenye rice weka tecno kwenye meat weka samsung.Ukiwa mchumi utanielewa tu
 
Samsung ni world brand, tecno imetengenezwa kwa ajili ya watu wasiojiweza

Kwani wewe unajiweza! Simu sio kipimo cha maendeleo as most of people think rafiki. Halafu uko too general maana huyo samsung ana simu hadi za elfu 35,000. Maendeleo kwangu mimi naona yanaanzia kwenye fikra, tunatawaliwa kifikra sasa na ukombozi wa fikra ndio utatutoa hapa tulipo.
 

Hahaha asante sana mkuu kumbe na wewe umeshakutana na hivo vioja, Tatizo Team Techno humu Jf itajua tunaponda tu simu zao kumbe ni kweli mkuu.
 
Usiendeshwe kihisia na watu wengine wote hatuwez kumiliki iphone au samsung hata kama ni matajiri.. Fanya kile kinachoufurahisha moyo wako sio mioyo ya wengine..

Nashukuru sana mkuu umeamua kusema ukweli Tatizo hapa kinachotusumbua wengi ni uwezo mdogo wa kifedha tulionao ndo mana tuna kimbilia Techno
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…