KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nimepata kusikia mtu yuko jela ila wiki iliyopita...........nilijikuta nimefungwa kifungo cha wiki moja jela nje ya jamii ya jamuhuri ya Muungano wa JF!!
Nilikaa gerezani nikiwaza watu wangu nilio waacha uraiani....kweli niliumia ila nikajipa moyo!!
Nikawakosa majirani wangu ambao niliowazoea kila siku asubuhi mchana jioni.....
Hasa nyinyi jirani zangu
Nimerudi tujenge taifa letu hili la JF
Ila maisha ya Jela si mchezo .....ndo nikakumbuka wimbo wa Diamond wanakibinda nkoye!!hasa pale nilipo ona gari limeandikwa JF nakutamani kuingia na kushindwa kuingia!!!
Nilikaa gerezani nikiwaza watu wangu nilio waacha uraiani....kweli niliumia ila nikajipa moyo!!
Nikawakosa majirani wangu ambao niliowazoea kila siku asubuhi mchana jioni.....
Hasa nyinyi jirani zangu
- Rutashubanyuma
- Katavi
- FirstLady1
- Preta
- Mwanajamii one
- NN
- Js
- FirstLady
- Chauro
- Kaizer
- KakaJambazi
- LadyN
- Lekanjobe Kubinika
- Mkeshahoi
- Team
- TheFinest
- Yoyo
- Siziga
- Babades
- MsJudith
- Young Master
- Bijibuji
- Mzee Mwanakijiji
- Ngoswe
- Mseven
- Mamshika
- Mtambuzi
- Kongosho
- Charminglady
- Remmy
- Boflo
- Funzadume
- Bacha
- Husninyo
- Smile
- Bigrita
- Mr.Rocy
Nimerudi tujenge taifa letu hili la JF
Ila maisha ya Jela si mchezo .....ndo nikakumbuka wimbo wa Diamond wanakibinda nkoye!!hasa pale nilipo ona gari limeandikwa JF nakutamani kuingia na kushindwa kuingia!!!