CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,982
Mimi yawezekana sio mchunguzi labda sababu natumia PC kuingia ila kiukweli sijaona tofauti ya JF ya wiki iliyopita na JF ya leo.
labda sababu walisema mabadiliko haya si ya kuonekana kwa macho, okey sawa
Haya ndugu zangu wa JF APP vipi tatizo lenu la 'NOTIFICATION' naskia vilio vyenu vimezidi, wametatua tatizo lenu?
Huku mimi bado naendelea kutafuta haya maboresho yapo kwa upande upi.
labda sababu walisema mabadiliko haya si ya kuonekana kwa macho, okey sawa
Haya ndugu zangu wa JF APP vipi tatizo lenu la 'NOTIFICATION' naskia vilio vyenu vimezidi, wametatua tatizo lenu?
Huku mimi bado naendelea kutafuta haya maboresho yapo kwa upande upi.