Maxence Melo apewe PhD ya heshima

Apewe hata hata Nchi tu mi naona fresh kuliko hao kina Mwiguluiza Madelu Nchembazimana wachumia tumbo tu!
Anastahili Kama jiwe aliweza kua mkuu wa Nchi japo ni Zero exposure yeye ni nani ashindwee?

2025 twende na Max!
 
Sijui kwanini aliliondoa aisee,nakumbuka miaka ya nyuma it was very lovely this jukwaa
Lile jukwaa lilikuwa linavunja sheria za nchi, halipaswi kuwepo, ilifanyika kazi tukufu kulifutilia mbali
 
Anapewaje PHD ikiwa haijulikani hatma ya JLW ?
 
Nashangaa udsm wanashindwa wapi kumujumuisha huyo jamaa km zao lao? Hawajui utaongeza jina la chuo kimtaifa
 
Huyu jamaa sidhani kama hiyo "piechidii" itamfaa maana tayari ni msomi..
Cha msingi na cha sekondari ya kata na ya "sirikali".

Ningeomba aturudishie jukwaa muhimu sana lile. Hata akitaka chuo cha jalalani tutakihamishia nyumbani kwake..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…