Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,604
Mi nina milioni 7, tusaidianeni mawazo ya kibiashara.
Nipe moja kati ya hizo 7 nikuandalie project write up nzuri. Hakuna ushauri wa bure.
project write-up bila wazo la biashara ... wewe vipi?
after a good business idea then follows a bankable business plan
fungua shule ya chekechea
Mi nina milioni 7, tusaidianeni mawazo ya kibiashara.
Anzisha garbage collection firm. Inalipa sana. Nunua dustbins, mikokoteni ya chuma, tafuta watu, wape training, nunua overalls, gloves, mask, kofia na tafuta chumba kiwe ndo ofisi rasmi. Wateja wako wote waje kulipia ofisin kulingana na makubaliano yenu. Mimi nina kampuni ya namna hii, inanilipa sana na nimetoa ajira kwa wengine pia.
Mi nina milioni 7, tusaidianeni mawazo ya kibiashara.
samahani kwa mimi ambaye kizungu kimenipa kushoto, ni ile biashara ya kukusanya vyuma,chupa na matakataka mengine??Anzisha garbage collection firm. Inalipa sana. Nunua dustbins, mikokoteni ya chuma, tafuta watu, wape training, nunua overalls, gloves, mask, kofia na tafuta chumba kiwe ndo ofisi rasmi. Wateja wako wote waje kulipia ofisin kulingana na makubaliano yenu. Mimi nina kampuni ya namna hii, inanilipa sana na nimetoa ajira kwa wengine pia.
njoo nazo hapa mango garden tupange mikakati tukishushia na moja moto moja baridi
Anzisha garbage collection firm. Inalipa sana. Nunua dustbins, mikokoteni ya chuma, tafuta watu, wape training, nunua overalls, gloves, mask, kofia na tafuta chumba kiwe ndo ofisi rasmi. Wateja wako wote waje kulipia ofisin kulingana na makubaliano yenu. Mimi nina kampuni ya namna hii, inanilipa sana na nimetoa ajira kwa wengine pia.
Hili wazo ninalo kitambo nitakutafuta mkuu unipe skills,bado naweka mambo sawa.