Dogo G
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,052
- 440
Strait to the aim,nna mdogo wangu kamaliza chuo kimoja cha ualimu diploma ya ualimu wa shule za msingi(odpe) mwaka jana mwezi wa nane lakini alihitimu akiwa anadaiwa ada kidogo tu.Sasa mpaka sasa ni chuo chao tu hawajapewa matokeo na nacte kisa chuo kinadaiwa pesa fulani fulani ambayo mimi siijui na mkuu wa chuo anawaambia anategemea pesa toka kwa wanachuo ambao hawakumaliza wamalizie ndipo wapate matokeo.Na mbali na hivyo amesema anawachukulia matokeo wale waliomaliza tu.
Kilichonileta ni kuomba mwenye ufahamu na haya masuala ya chuo,je mwanachuo asipokamilisha ada hapati hayo matokeo moja kwa moja na cheti hapati mazima hata akilipa siku za mbeleni?.Sijajua utaratibu wa NACTE kwamba huwa wanatoa matokeo nusu nusu kweli au la.Hapa nimechanganyikiwa wakuu dogo kasoma miaka 3 leo asipewe cheti cha nacte kisa ada? Au huwa wanatoa vyote then unapata kwa utaratibu?
Kama kuna mjumbe wa nacte anisaidie hapa au yeyote mwenye ufahamu
Wa haya.(kwa sasa ni kuhusu matokeo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichonileta ni kuomba mwenye ufahamu na haya masuala ya chuo,je mwanachuo asipokamilisha ada hapati hayo matokeo moja kwa moja na cheti hapati mazima hata akilipa siku za mbeleni?.Sijajua utaratibu wa NACTE kwamba huwa wanatoa matokeo nusu nusu kweli au la.Hapa nimechanganyikiwa wakuu dogo kasoma miaka 3 leo asipewe cheti cha nacte kisa ada? Au huwa wanatoa vyote then unapata kwa utaratibu?
Kama kuna mjumbe wa nacte anisaidie hapa au yeyote mwenye ufahamu
Wa haya.(kwa sasa ni kuhusu matokeo)
Sent using Jamii Forums mobile app