sio lazima nikuelewe
Senior Member
- Sep 26, 2025
- 108
- 207
Binafsi sina chama ila ni muumini wa haki inayo leta amani, na si amani ya kubumba, inayowapa nguvu kikundi flani cha watu, kuwafanyia wengine chochote watakachoweza ikiwezekana hata kuua na wasiulizwe na mtu yeyote
Hivi? Wanao debate ( kuitetea serikali ) wanaitetea kwenye lipi tukiachilia mbali udini na amani wanayo ihubiri!? Je!? Kwa hali hii jinsi ilivyo? Serikali inaona kufanikiwa kuongoza nchi kwa kipindi gani? Kama mwanzo tu wa hiyo miaka mitano inayo nadiwa ipo hivi!? Kuna raha gani ya kua kiongozi ama kuongoza kwenye hali kama hii!? Tena hali ambayo haijawahi tokea Tanzania!? Na isiyo tabirika!? Kua kama hakinuki leo, basi kitanuka kesho? Lockdown mara kwa mara!? Hizi kazi zingine zinafanyikaje kwa mazingira kama haya!? Ni kuangaika na hali ya usalama tuu mwanzo mwisho wakati tuna vipaumbele vingine!? Je? Mwendo wetu ndio huu kwa miaka hiyo mitano?
Hili kundi lingine siliongelei wana mabango yao wana maswali yao, wana hoja zao, na mambo yao ambayo nao pia wapo kama mimi kwenye kujiuliza, wapewe majibu yao, tuendelee na mambo mengine. Binafsi ninahali mbaya na sitamani kabisa haya mambo kuendelea. Kama kuna la kumalizana? Malizaneni wengine tuendelee na maisha mengine
Hivi? Wanao debate ( kuitetea serikali ) wanaitetea kwenye lipi tukiachilia mbali udini na amani wanayo ihubiri!? Je!? Kwa hali hii jinsi ilivyo? Serikali inaona kufanikiwa kuongoza nchi kwa kipindi gani? Kama mwanzo tu wa hiyo miaka mitano inayo nadiwa ipo hivi!? Kuna raha gani ya kua kiongozi ama kuongoza kwenye hali kama hii!? Tena hali ambayo haijawahi tokea Tanzania!? Na isiyo tabirika!? Kua kama hakinuki leo, basi kitanuka kesho? Lockdown mara kwa mara!? Hizi kazi zingine zinafanyikaje kwa mazingira kama haya!? Ni kuangaika na hali ya usalama tuu mwanzo mwisho wakati tuna vipaumbele vingine!? Je? Mwendo wetu ndio huu kwa miaka hiyo mitano?
Hili kundi lingine siliongelei wana mabango yao wana maswali yao, wana hoja zao, na mambo yao ambayo nao pia wapo kama mimi kwenye kujiuliza, wapewe majibu yao, tuendelee na mambo mengine. Binafsi ninahali mbaya na sitamani kabisa haya mambo kuendelea. Kama kuna la kumalizana? Malizaneni wengine tuendelee na maisha mengine