mawazo yako yanahitajika

Change_it

JF-Expert Member
Sep 17, 2010
279
83
wakuu naomba mnisadie kuhusu hili,hivi kujamiiana mwanamke mjamzito kuna madhara yoyote kwa huyo kiumbe aliyeko tumboni hata kama mimba bado ni changa?​
 
Hamna madhara yoyote kwa mimba au kiumbe anayeendelea kuumbika, unless...kuwe na tatizo lingine to compliment that!
 
we endelea tu kupiga pushap kiunomauno ila KWA STEP....usije pindisha kisigino cha beb tumbon...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom