Huwa najiuliza sana pamoja na usanii wa kugawa uwaziri kwa mikoa bado wilaya ya ulanga imepata upendeleo wa kuwa na mawaziri wawili kombani na huyu wa afya lakin wameshindwa kutetea hata barabara ya kutoka kilombero ifakar mpka ulanga .wanadhan 2015 ni mbali. kwel mawazir kama hawa ni mzigo kwa jimbo na taifa