mawaziri watatu ndiyo wanapokea simu

Dec 8, 2018
12
5
Kuna Mawaziri Watatu Ndiyo wanapokea simu na nikiwapatia Malalamiko ya Wananchi wanayafanyia Kazi

1.Medadi Kalemani ( Nishati)
2.Kangi Lugola ( Mambo ya Ndani)
3.William Lukuvi( Ardhi)

Na Kidogo wa Maliasili
( Khamisi Kigwangala)
Nayeye kaanza kubadilika anapokea simu



_Dr Bashiru Ally_

*Katibu Mkuu CCM Taifa*
 
Sasa siangemtumia Meseji mwenyekiti wake sisi yanatuhusu nini
 
Kuna Mawaziri Watatu Ndiyo wanapokea simu na nikiwapatia Malalamiko ya Wananchi wanayafanyia Kazi

1.Medadi Kalemani ( Nishati)
2.Kangi Lugola ( Mambo ya Ndani)
3.William Lukuvi( Ardhi)

Na Kidogo wa Maliasili
( Khamisi Kigwangala)
Nayeye kaanza kubadilika anapokea simu



_Dr Bashiru Ally_

*Katibu Mkuu CCM Taifa*
Kwani hao mawaziri wanawajibika kwa Bashiru? Mbona sijaelewa huu mfumo wa uongozi ukoje
 
Kwa Lukuvi sahihi kabisa, maafisa ardhi wa manispaa Morogoro walinizungusha hati ya kiwanja for 8 months... Nikampigia akapokea na kunisaidia, ndani ya wiki moja tu faili likaenda Dodoma....
 
Back
Top Bottom