Iza
JF-Expert Member
- Jan 8, 2009
- 2,026
- 612
haya ndiyo mambo yaliyompeleka brazil:
fulana imeandikwa 'FILA'
View attachment 52084
hapa anapiga pama.
View attachment 52085
Urais sio kuvaa pama..kweli nimeamini...!
haya ndiyo mambo yaliyompeleka brazil:
fulana imeandikwa 'FILA'
View attachment 52084
hapa anapiga pama.
View attachment 52085
Deo Filikunjombe ana machungu ya kweli kwa sababu juhudi za kuyatetea magamba zimemfedhesha. Si mnakumbuka mangumi aliyokungutwa na wapigania uhuru wa BAWACHA kwenye viwanja vya bunge? Deo BAWACHA walikuwa wamesha ishitukia serikali yenu tangu siku nyiiingi!!!!Filikunjombe kausema ukweli ambao wote hapo mjengoni wanaujua...Mashujaa kama Deo wamechoshwa na serikali yao isiyo na haya kwa walipa kodi wake
Muhimu ni kama anayo hiyo orodha na akaiwasilisha panapohusika litakuwa jambo la kheri hata kama magazeti yatauza.
Mimi ningetegemea awataje moja kwa moja ili kuepuka kuchakachua taarifa yake, ofisi ya spika haiaminiki sana kwa masuala serious and sensitive.
Dah! Hicho kichwa cha habari! kitauza magazeti ya udaku
Patachimbika aise
Mwenyewe (Deo) kasema ushahidi upo na wakitaka atawapa. Akitoa ushahidi najua mwaka huu concussion itaua wengi lol
Sio mawaziri, rais ndiye anayeongoza kwa kuibaka nchi na safari zake nyiiiingiiii zisizo na maana yoyote. Kaenda Brazil kumsalimia rais mstaafu Lula na kupewa jezi na Maximo, rais anachemka sijaona!
Hizi safari zina tija gani? Kwa nini serikali haitaki kutupa mchanganuo wa gharama zote za safari tangu Dec. 2005 alipoingia Magogoni mpaka sasa na tulichokipata kutokana na hizi safari ili tujue kama ni kweli anakwenda kutalii tu au la?!
Mbona naye hatembelewi kama anavyowatembelea? Sanasana amekuja Waziri Mkuu wa Somalia tena kwa masaa tu na kuondoka zake!
Kama baba anafuja unategemea watoto wafanye nini?
Huyu lukuvi vip? si asuburi watajwe kwa nini anataka kuwalinda,huwa wanamgawia nini?
Yaani hakuna kazi rahisi tanzania kama kuthibitisha viongozi wezi.
Filikunjombe kama upo jf nipm nikupe data.