BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,144
Waungwana mimi kwa maoni yangu Mawaziri wanaojizulu kwa kashfa mbali mbali za kifisadi inabidi pia wajiuzulu ubunge, ujumbe wa halmashauri kuu na kamati kuu pia kama wamo humo ama wafukuzwe.
Vinginevyo bunge, halmashauri kuu na kamati kuu kuendelea kuwakumbatia mafisadi hao ni kuonyesha kwamba ufisadi walioufanya hauna matatizo na hivyo kuendelea kulipwa mishahara na marupurupu manono toka pesa za walipa kodi. Kwa hiyo basi kuna haja ya Lowassa, Msabaha na Karamagi kujiondoa kwenye vyombo hivyo ama wafukuzwe.
Vinginevyo bunge, halmashauri kuu na kamati kuu kuendelea kuwakumbatia mafisadi hao ni kuonyesha kwamba ufisadi walioufanya hauna matatizo na hivyo kuendelea kulipwa mishahara na marupurupu manono toka pesa za walipa kodi. Kwa hiyo basi kuna haja ya Lowassa, Msabaha na Karamagi kujiondoa kwenye vyombo hivyo ama wafukuzwe.