Nilisoma hili neno kwenye kalenda fulani eti P.Msekwa ni waziri mkuu mstaafu, nikajiuliza alikuwa PM wa nchi gani jamani? kama ni S mstaafu hapo sawa lkn kwa PM a big no also a small no applies here, asenteniiiii ba ndg kwa kuniiiellewaaa, nadhani hawakuedit kasi yao ndiyo maana ina mikosa miniiingi tuuuu