pnkuru
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 283
- 182
Acheni wivu wakipuuzi..fanya kaz kwa bidii sio kuanzisha uzi wa kumuonea gere aliyepata.baba yako angepata nafas angetumia pia vizur na usingekua hapa unaandika vitu vya wenzio bila udhibitisho.
Fight with your condition..