Lini wakawajibishana hao? Zaidi wakibidirisha mawaziri bado lengo lao moja tu! deal, na mbaya zaidi ni komba komba ya mh. kwa dakika za mwisho, hivyo watakao kuwa karibu wawe tayari ama kumfichia siri au kukabidhiwa madaraka baadae ili akstaafu wamlinde....ccm zenu tulisha jua.
Mimi sijawahi ona duniani chama kikakaa kikao kwa utendaji mbovu wa mawaziri wa chama hicho na kutoa mawazo ya kijinga kama hayo "Wahamishwe Wizara". Jibu ni simple get rid of this Chama Chakavu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.