Swali lako zuri sana. Sijui kama huwa wanapewa kiinua mgongo kwani kama ni hivyo, basi wale wanaotenguliwa na kisha kuteuliwa tena watakuwa wanakomba sana kwa kila uteuzi utakuwa unakuja na kiinua mgongo chake. Nadhani huenda kuna utaratibu tofauti ili kuzuia gharama zisizokuwa lazima kama hizo