Mawaziri Kupanguliwa

Mchengerwa ni mtoto wa mama huyo bwashee
Wenye kujua yaliyofichika. Naomba kujua ikiwa
Bashungwa
Ndalichako
Wataendelea kusalia kwenye nafasi zao? Vipi Mchengerwa?
Najua January hagusiki.
 
Yeah. Ni matusi. Ndio maana nasema ivi Kafulila na Kitila ni wapumbaf!
Magufuli alihakikisha amewapa ajira za kudumu serikalini, wakazikacha na kukimbilia kwenye teuzi.
Leo hii, wako juu ya mawe!
Kafulila alikua na ajira gani?
 
Lolote linawezekana,hii nchi ina changamoto nyingi kuliko tunazozijua
 
Mbaya zaidi kuna gharama zinatumika pia hata kama zipo ndani ya bajeti lakini bado hizo fedha zingefanya shughuli nyingine
 
Hii ndio taarifa mpya iliyotolewa na Gazeti bomba la Raia Mwema .

Kwamba Muda mfupi ujao baadhi ya Waheshimiwa Mawaziri wanaweza kuwa Raia wa kawaida kama tulivyo sisi wengine , hasa baada ya nafasi zao kujazwa na Wazalendo wengine .

Usiondoke JF .
Ikitokea lengo kuu ni kuweka mawari wahuni, wapigaji, wafanya biashara ili kuendeleza falsafa ya mama kuweka wafanya biashara kuongoza nchi kwa fada yao binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…