Sio kwa magufuri. Jk hawezi kumshawish aweke watu wake. Sema nadhani Jk anaogopa kwamba hii tumbuatumbua ipo siku itamgusa na kumchafua yeye. Ana hofu so usikute anaenda kumuomba asitumbue eneo flan ikiwamo na ya mwanae mwenyewe anaogopa kumvaa magufuri. Na magufuri kasema ndo anaanza vita na madawa sasa. Wabebaji wakubwa ni wasanii wa bongo fleva na wanapita uwanjandege na mabegi bila kukaguliwa kwa amri toka juu. Ndio serikali iliyopita ilivokua.Hivi mnadhani JK mjinga kwenda Ikulu mara ya pili?
Kiufupi serikali ya zamani inarudi na mchanganyiko wa Awamu ya Tatu na Nne na Tano