mmzalendo
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 165
- 1
juzi juzi pinda katuibia eti ina muhuma sana wananchi kuvunjiwa
nyumba wakati ukweli ni kwamba meya wa ilala JERRY kwa kushirikiana
na mafisadi wa outdoor walikwenda kushitaki wa waziri mkuu hayo mabango yasiondolewe kwa maana manispaa itakosa hela japo wanakiri kujengwa kwenye eneo lisilo ruhusiwa kwa hiyo waziri mkuu yuko tayari dar tuwe na foleni mpaka kufa
kwa sababu ya biashara ya outdoor wao waingize sisi tuhumie kisha najiita mtoto wa mkulima
lakini mkataba ukimalizika kati ya ilala na outdoor mabango yakitolewa na bomoa bomoa litaanza upya
asante sana www.lifeofmshaba.com
kwa kunitonya ili
nyumba wakati ukweli ni kwamba meya wa ilala JERRY kwa kushirikiana
na mafisadi wa outdoor walikwenda kushitaki wa waziri mkuu hayo mabango yasiondolewe kwa maana manispaa itakosa hela japo wanakiri kujengwa kwenye eneo lisilo ruhusiwa kwa hiyo waziri mkuu yuko tayari dar tuwe na foleni mpaka kufa
kwa sababu ya biashara ya outdoor wao waingize sisi tuhumie kisha najiita mtoto wa mkulima
lakini mkataba ukimalizika kati ya ilala na outdoor mabango yakitolewa na bomoa bomoa litaanza upya
asante sana www.lifeofmshaba.com
kwa kunitonya ili