Mawasiliano..

Mawasiliano..

Duuh_tread nzuri hii,..hata mimi mke wangu analalamika sana kuhusu hili,..ila to me sioni kama ni issue kivile_maake asubuhi tunaagana na jioni tunakutana,..haya mambo ya umekula lunch_ndio,umekula nini wali samaki,jitaidi kula bana si unajua wewe ni mvivu kula...wengine zinatuboa,....


Nb:Kwa uopande wangu sio kwamba simpendi nampenda saaaaaaaaaaana,...sema hayo mambo ya ki_baby mara sweet,honey hatuyachukulii kivile.....hii ni kwa sisi tuliosoma st.kayumba.

mwenzangu we acha tu, tena mie ndo sipendagi kabisa hizo sms za sijui umekula sijui umekula nini, huwa naona michosho tu na i find it very high school. mtu mzima mie waniuliza kama nimekula ili iweje? eti mapenzi, lo wizi mtupu.

sijasoma st. kayumba na bado sipendi mambo ya kitamthilia
 
Duuh_tread nzuri hii,..hata mimi mke wangu analalamika sana kuhusu hili,..ila to me sioni kama ni issue kivile_maake asubuhi tunaagana na jioni tunakutana,..haya mambo ya umekula lunch_ndio,umekula nini wali samaki,jitaidi kula bana si unajua wewe ni mvivu kula...wengine zinatuboa,....


Nb:Kwa uopande wangu sio kwamba simpendi nampenda saaaaaaaaaaana,...sema hayo mambo ya ki_baby mara sweet,honey hatuyachukulii kivile.....hii ni kwa sisi tuliosoma st.kayumba.

Nakugongea like kubwa
 
ila hapa kuna mlolongo wa mambo meng,yan wapi mmeanzia kama hakuwa hvyo lazma kuna v2 vimemc when you commcate...ila kama toka zaman ndo mlikuwa hvyo bc kama we unapenda mwambie unahtaji kumsikia hata mara mbil akiwa kazin.Bt pole maana me mwenyew ni m1 ya watu ambye napenda kuwacliana xana.
 
Pexa kwanza,mambo mengne mbele,we unalala nae mpaka asubuhi,.afike ofsini simu za nini,izo shida kwa nn usimwambie usiku,asubuhi mpaka kazini ndo umwambie.wanawake kama ninyi mnachosha waume zenu.
 
Wanawake wanakera sana mtu unakuta uko kazini umebanana anakupigia kukueleza mambo ya kijinga ikiwemo umbea ambao ametoa kwa mashostito wake kwani akinisubiri nyumbani tukaongea atapungukiwa nini jifanyeni mnapenda mtakufa kwa presha shauri yenu.
 
Hello wana forum..je wapenzi wanatakiwa wawacliane marangapi kwa cku?? Mume wangu akienda kazn ndo hata nipigia wa kuni sms hata mara1.naweza nimpigie simu anaongea haraka halaf anakata mwenyewe na niki mu sms anaeza asinijib jion nikimuuliza anasema nlikua na kaz nyingi.je hapati hata dakika 1 yakujib sms?au ana ni ignore?ikitokea nimesafiri hata nipigia mpaka nimpigie mimi au nimbip na hua nambip kwa kumjarib nione km atapiga.anaeza asipige au apige ucku je nikwel ni wingi wakazi mh cjui ebu nsaidien.mnijib kwa ustaarab.

Nisingependa kukukatisha tamaa ila kifupi hapo tunasema 'ukiona manyoya ujue keshaliwa'. Mimi nakushauri hebu na wewe acha kumpigia simu walau mwezi mzima susimbeep wala kumtext then uone his reaction.
 
je ni kazi gani anayofanya huyo mumeo maana kuna kazi nyingine hata simu unaiona kama chuma cha moto....kama kuna landline piga hiyo muongee kama hayupo utapata taarifa then utaujua ukweli
 
Uliyenaye yukoje mdada, lakini kwa nini usiwasiliane na mwenzako walau once a day, nadhani inaonesha kujaliana vile.

sometym inakua kero
kawasiliana mara moja mbili sawa
ila sio kila saa,uko wapi,unafanya nn utafkiri CID bna!

 
sometym inakua kero
kawasiliana mara moja mbili sawa
ila sio kila saa,uko wapi,unafanya nn utafkiri CID bna!


Kama hakuna tatizo mawasiliano ya mara kwa mara sio mazuri sana, thus why nimesema atleast once a day japo inategeamea vile vile na makubaliano baina ya wawili. Mawasiliano ya mara kwa mara kwa mfano kwa mwanaume mwenye wivu na mke ambaye kwake simu siyo deal sana lazima italeta matatizo, hapa utakuta mwanaume apiga simu na kuandika sms pasipo majibu, simu haipokelewi, sms hazijibiwi, sio kwa makusudu la hasha, bali waweza kuta simu iliweka kwenye mkoba asb na ipo silent, ama kama ni mama wa nyumbani simu iko chumbani mama yupo jikoni ama sitting room nk, ugomvi wa hapo sasa.

Kila kitu kina changamoto zake, msipowasiliana kabisa ni tatizo, mkiwasiliana sana napo ni tatizo, so tuwe na kiasi kwa kila jambo hakutakua na kero.
 
mara mbili kwa siku c mbaya!

Ni makubaliano yenu tu, lakini ukumbuke pia inaweza tokea mtu akawa na hisia kwa mwenzake kiasi cha kushindwa kuhimili huo muhemko, hapo anatamani hata kuisikia sauti ya mwenza wake ili apate faraja ya moyo na mwili (I have experience on that), hivyo mipaka sana sio jambo nzuri unless hampendani kwa dhati, yamebaki mazoea tu, imagine mwingine yupo away.
 
Inaonekana humpigii kwa mema, unampigia kumchunguza kama ana mpango wa nje, ila kama una wasiwasi na hilo, acha kumpigia wala kumsms uone yeye atafanyaje.....
 
awe mbali kwa muda mrefu na
sio eti kaenda kazini asbh
kila saa simu,sms,ni kero coz kuna muda anakua busy!
 
imani yako ndio itakayojibu haya maswali yote hapa,
Hello wana forum..je wapenzi wanatakiwa wawacliane marangapi kwa cku?? Mume wangu akienda kazn ndo hata nipigia wa kuni sms hata mara1.naweza nimpigie simu anaongea haraka halaf anakata mwenyewe na niki mu sms anaeza asinijib jion nikimuuliza anasema nlikua na kaz nyingi.je hapati hata dakika 1 yakujib sms?au ana ni ignore?ikitokea nimesafiri hata nipigia mpaka nimpigie mimi au nimbip na hua nambip kwa kumjarib nione km atapiga.anaeza asipige au apige ucku je nikwel ni wingi wakazi mh cjui ebu nsaidien.mnijib kwa ustaarab.
 
Jaribu kumwangalia mumeo ni mtu wa aina gani kama ni hawa mfumo dume mh wanamatatizo sana, kwao mwanamke hana deal sana.

Na wewe acha kumpigia na ukisafiri usimpigie kabisa na hata akiandika sms sometime ignore kwani wewe huna huyo buze?

Maneno yawavunja ndoa haya....
 
Hello wana forum..je wapenzi wanatakiwa wawacliane marangapi kwa cku?? Mume wangu akienda kazn ndo hata nipigia wa kuni sms hata mara1.naweza nimpigie simu anaongea haraka halaf anakata mwenyewe na niki mu sms anaeza asinijib jion nikimuuliza anasema nlikua na kaz nyingi.je hapati hata dakika 1 yakujib sms?au ana ni ignore?ikitokea nimesafiri hata nipigia mpaka nimpigie mimi au nimbip na hua nambip kwa kumjarib nione km atapiga.anaeza asipige au apige ucku je nikwel ni wingi wakazi mh cjui ebu nsaidien.mnijib kwa ustaarab.

Huna kingine cha kumpima mumeo kuwa ANAKUPENDA? Unaweza ona ana allergy na SIMU dada! Jaribu kumuomba vitu kama zawadi, au outing na uone kama bado yupo negative...
 
Back
Top Bottom