Mawasiliano ni nguzo ya mapenzi bora

Mawasiliano ni nguzo ya mapenzi bora

Hewalaa... karibu.

Wewe mtu ninakuchukia basi tuuu
Sinaga moyo wa chuki pia sichukiagi watu ila wewe ninakuchukia .....kuna siku ulicomment kitu nikakujua kumbe ni wewe jf unatumia hii id!!!!
Nashangaaa saana unavyojifanya kuongea mambo ya busara while ur not .
 
Wewe mtu ninakuchukia basi tuuu
Sinaga moyo wa chuki pia sichukiagi watu ila wewe ninakuchukia .....kuna siku ulicomment kitu nikakujua kumbe ni wewe jf unatumia hii id!!!!
Nashangaaa saana unavyojifanya kuongea mambo ya busara while ur not .
Kwasababu tupo kwenye uzi unaozungumzia "mawasiliano"itakuwa vizuri tukiongea mkuu.

Kwanini unanichukia?
 
Kwasababu tupo kwenye uzi unaozungumzia "mawasiliano"itakuwa vizuri tukiongea mkuu.

Kwanini unanichukia?

We elewa hivyo .....na unajua kuwa kuna mtu anakuchukia wala usitake tuanze mijadala mingine
 
Ni kweli kabisa...

Ila kuna baadhi ya binadamu ni wabishi sana kwenye kukiri mambo au kujenga hayo mawasiliano...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom