Mawasiliano ni nguzo ya mapenzi bora

Mawasiliano ni nguzo ya mapenzi bora

Mawasiliano yanapokosemakana kwa wapenzi na ladha ya penzi pia hupungua
 
Eeh nikumbushwe ya nyuma kwa raha zangu.

Sasa wewe utafaidikaje?
Na Mimi nitatafuta mzee mwenzio wa kunilea najua hutaweza kunichoma huku ulikokula mahari.. Maana ukinichoma na mimi naenda kukuchoma kwa bibi ....na mwambia unamchepukoo[emoji4] [emoji4] tena Mdogo Mdogo...
We mchombeze tu joanah mi sina shida ila vigezo na masharti kuzingatiwa ...tena kutopeleka ukoo mbali nitajibebisha kwa

Mshana Jr [emoji126] [emoji126] [emoji39] [emoji39]
 
Na Mimi nitatafuta mzee mwenzio wa kunilea najua hutaweza kunichoma huku ulikokula mahari.. Maana ukinichoma na mimi naenda kukuchoma kwa bibi ....na mwambia unamchepukoo[emoji4] [emoji4] tena Mdogo Mdogo...
We mchombeze tu joanah mi sina shida ila vigezo na masharti kuzingatiwa ...tena kutopeleka ukoo mbali nitajibebisha kwa

Mshana Jr [emoji126] [emoji126] [emoji39] [emoji39]
Hewaaala hapo tupo sambamba... sasa jenga naye urafiki unirahisishie mambo.
 
Back
Top Bottom