Mawasiliano kati ya Dodoma na Dar yamekatika baada ya daraja la Kiyegeya mkoani Morogoro lililofanyiwa ukarabati kusombwa tena na maji ya mvua iliyonyesha leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
kapicha sasa!Mawasiliano kati ya Dodoma na Dar yamekatika baada ya daraja la Kiyegeya mkoani Morogoro lililofanyiwa ukarabati kusombwa tena na maji ya mvua iliyonyesha leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe muda mkuu source zangu za habari zinataarifu zaidi,nidondoshe mzigo hapa
Ndio maana nimeandika Breaking news mkuu,watu wa media wakinijulisha nadondosha hapa.kapicha sasa!
ila serikali imenunua '
mandege mengi'watu watapnda hayo maana ndio kipaumbele hicho
hahahha changamoto ipoSasa Mfugale na engineer wake aliyemtetea ni bingwa wa kuunda madaraja yuko wapi..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa taarifa mkuu.Nimesikia pia kutoka Radio One katika habari mpasuko (breaking news), reporter wao wa morogoro alikuwa eneo la tukio darajani saa tatu hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaLaana za kutumia na fuja kodi zetu kwa mambo yasiyokuwa na lazima.