Je mshahara unaingia kwenye account au?Ndugu wana Jf. Inakuwaje mtu anapewa barua ya kuripoti kazin kuanzia mwezi wa 10/2014 mpaka leo hajapangiwa kituo cha kazi? Mwenye taarifa tafadhali kulikoni? Mdogo wangu yupo njia panda....
Nawakilisha.
Je mshahara unaingia kwenye account au?
msijali, subirini baada ya uchaguzi kutakuwa na kesi nyingi, mtapiga kazi mpaka mchokeHaaa Hakuna Cha Mshahara Wala Nin, Tulisainishwa Tu Kwa Karatasi Yenye Orodha Ya Watu 300.
msijali, subirini baada ya uchaguzi kutakuwa na kesi nyingi, mtapiga kazi mpaka mchoke
kuna interview nyingine wanafanya kujaza iidadi nafikiri baada hapo tutaitwa wote
Kwanza badili kichwa cha habari, hakuna mawakili wa serikali ila kuna wanasheria wa serikali.
Back to topic; kwa kuwa usahili wa awali hawakupata idadi ya kutosha basi nadhani wameamua kusubiri ili wawaunganishe na wale watakaofanya usahili tar 03 feb. Naamini wataitwa wiki chache baada ya feb 03.
Mpe mdogo wako pole
Sawa Lakin Pia Inaweza Isiwe Sababu Kubwa, N Mara Nying Watu Hupewa Vituo Na Kuanza Kaz, Idad Nyingne Wakiendelea Na Mchakato Wa Interview Kama Kuna Uhtaj Mwingine