PostGE2025 Mawakili Boniface Mwabukusi na Mpale Mpoki wahojiwa kwa Makosa ya kutaka kuvunja Muungano, waachiwa bila masharti yoyote

PostGE2025 Mawakili Boniface Mwabukusi na Mpale Mpoki wahojiwa kwa Makosa ya kutaka kuvunja Muungano, waachiwa bila masharti yoyote

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
440
Reaction score
3,211
1000506724.jpg
Mnamo Novemba 12, 2025 Wakili Mwandamizi Mpale Kaba Mpoki alipokea wito kutoka kwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Kipolisi Kawe. Wito huo ulimtaka afike leo asubuhi Novemba 13, 2025 katika kituo cha Polisi Mbweni.

Wakili Mpoki aliongozana na mawakili wake ambao ni Raisi wa TLS Boniface Mwabukusi, Dkt. Rugemeleza Nshala, Paul Kisabo kutoka THRDC na Fredrick Msaki. Baada ya kufika kituo cha Polisi Mbweni, Mkuu wa Upelelezi alieleza kuwa Wakili Mpoki anahitajika katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kwa Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam.

Hivyo, tuliondoka na kuelekea Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam. Baada ya kufika na kuonana na Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam, alishukuru kuwaona Wakili Mwabukusi na Wakili Mpoki kwani wote walikuwa wanahitajika kwakuwa alikuwa na taarifa za Mpoki na Mwabukusi kuhusika katika kuhamasisha maandamano ya Disemba 09, 2025 kwa lengo la kuvunja Muungano, hivyo alitaka kupata ufafanuzi kuhusu taarifa hizo ambapo baada ya mazungumzo ya kina na ufafanuzi Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam aliwaruhusu kuondoka bila masharti yoyote.
 
View attachment 3501186
Mnamo Novemba 12, 2025 Wakili Mwandamizi Mpale Kaba Mpoki alipokea wito kutoka kwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Kipolisi Kawe. Wito huo ulimtaka afike leo asubuhi Novemba 13, 2025 katika kituo cha Polisi Mbweni.

Wakili Mpoki aliongozana na mawakili wake ambao ni Raisi wa TLS Boniface Mwabukusi, Dkt. Rugemeleza Nshala, Paul Kisabo kutoka THRDC na Fredrick Msaki. Baada ya kufika kituo cha Polisi Mbweni, Mkuu wa Upelelezi alieleza kuwa Wakili Mpoki anahitajika katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kwa Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam.

Hivyo, tuliondoka na kuelekea Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam. Baada ya kufika na kuonana na Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam, alishukuru kuwaona Wakili Mwabukusi na Wakili Mpoki kwani wote walikuwa wanahitajika kwakuwa alikuwa na taarifa za Mpoki na Mwabukusi kuhusika katika kuhamasisha maandamano ya Disemba 09, 2025 kwa lengo la kuvunja Muungano, hivyo alitaka kupata ufafanuzi kuhusu taarifa hizo ambapo baada ya mazungumzo ya kina na ufafanuzi Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam aliwaruhusu kuondoka bila masharti yoyote.
Yaani mtu akiongelea kitu kuwa hakiko Sawa na jinsi walio ktk Mamlaka wamekiweka au wamekions kipo sawa Kwa maoni Yao, wengine wakikipinga au kukuona sicho ni kuvunja Sheria ??
 
View attachment 3501186
Mnamo Novemba 12, 2025 Wakili Mwandamizi Mpale Kaba Mpoki alipokea wito kutoka kwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Kipolisi Kawe. Wito huo ulimtaka afike leo asubuhi Novemba 13, 2025 katika kituo cha Polisi Mbweni.

Wakili Mpoki aliongozana na mawakili wake ambao ni Raisi wa TLS Boniface Mwabukusi, Dkt. Rugemeleza Nshala, Paul Kisabo kutoka THRDC na Fredrick Msaki. Baada ya kufika kituo cha Polisi Mbweni, Mkuu wa Upelelezi alieleza kuwa Wakili Mpoki anahitajika katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kwa Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam.

Hivyo, tuliondoka na kuelekea Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam. Baada ya kufika na kuonana na Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam, alishukuru kuwaona Wakili Mwabukusi na Wakili Mpoki kwani wote walikuwa wanahitajika kwakuwa alikuwa na taarifa za Mpoki na Mwabukusi kuhusika katika kuhamasisha maandamano ya Disemba 09, 2025 kwa lengo la kuvunja Muungano, hivyo alitaka kupata ufafanuzi kuhusu taarifa hizo ambapo baada ya mazungumzo ya kina na ufafanuzi Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam aliwaruhusu kuondoka bila masharti yoyote.
kwani huo muungano alituunganisha Mungu kwamba upo kwenye vitabu vya dini nafkiri ifike muda uanze utaratibu kila mtu afe na mechi zake tumekumbatia nnge kwa upumbavu wametung'ata damu za watanganyika zimemwagwa kwenye ardhi yao bila hatia
 
Mnamo Novemba 12, 2025 Wakili Mwandamizi Mpale Kaba Mpoki alipokea wito kutoka kwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Kipolisi Kawe. Wito huo ulimtaka afike leo asubuhi Novemba 13, 2025 katika kituo cha Polisi Mbweni.

Wakili Mpoki aliongozana na mawakili wake ambao ni Raisi wa TLS Boniface Mwabukusi, Dkt. Rugemeleza Nshala, Paul Kisabo kutoka THRDC na Fredrick Msaki. Baada ya kufika kituo cha Polisi Mbweni, Mkuu wa Upelelezi alieleza kuwa Wakili Mpoki anahitajika katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kwa Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam.

Hivyo, tuliondoka na kuelekea Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam. Baada ya kufika na kuonana na Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam, alishukuru kuwaona Wakili Mwabukusi na Wakili Mpoki kwani wote walikuwa wanahitajika kwakuwa alikuwa na taarifa za Mpoki na Mwabukusi kuhusika katika kuhamasisha maandamano ya Disemba 09, 2025 kwa lengo la kuvunja Muungano, hivyo alitaka kupata ufafanuzi kuhusu taarifa hizo ambapo baada ya mazungumzo ya kina na ufafanuzi Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam aliwaruhusu kuondoka bila masharti yoyote.
Damu zisizo na hatia zinanena na bado tutasikia mengi muda ni mwalimu Mungu fundi
 
Yaani mtu akiongelea kitu kuwa hakiko Sawa na jinsi walio ktk Mamlaka wamekiweka au wamekions kipo sawa Kwa maoni Yao, wengine wakikipinga au kukuona sicho ni kuvunja Sheria ??
Ndio wanavyotafasiri wao watu pekee wanaowaona wa maana ni machawa wa TPBA, wengine wote wanawachukulia km waharifu tu
 
Mnamo Novemba 12, 2025 Wakili Mwandamizi Mpale Kaba Mpoki alipokea wito kutoka kwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Kipolisi Kawe. Wito huo ulimtaka afike leo asubuhi Novemba 13, 2025 katika kituo cha Polisi Mbweni.

Wakili Mpoki aliongozana na mawakili wake ambao ni Raisi wa TLS Boniface Mwabukusi, Dkt. Rugemeleza Nshala, Paul Kisabo kutoka THRDC na Fredrick Msaki. Baada ya kufika kituo cha Polisi Mbweni, Mkuu wa Upelelezi alieleza kuwa Wakili Mpoki anahitajika katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kwa Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam.

Hivyo, tuliondoka na kuelekea Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam. Baada ya kufika na kuonana na Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam, alishukuru kuwaona Wakili Mwabukusi na Wakili Mpoki kwani wote walikuwa wanahitajika kwakuwa alikuwa na taarifa za Mpoki na Mwabukusi kuhusika katika kuhamasisha maandamano ya Disemba 09, 2025 kwa lengo la kuvunja Muungano, hivyo alitaka kupata ufafanuzi kuhusu taarifa hizo ambapo baada ya mazungumzo ya kina na ufafanuzi Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam aliwaruhusu kuondoka bila masharti yoyote.
Sasa mbona kama vile huyo Kamanda wa Upelelezi ndio kahamasisha?? Sijaelewa
 
Mnamo Novemba 12, 2025 Wakili Mwandamizi Mpale Kaba Mpoki alipokea wito kutoka kwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Kipolisi Kawe. Wito huo ulimtaka afike leo asubuhi Novemba 13, 2025 katika kituo cha Polisi Mbweni.

Wakili Mpoki aliongozana na mawakili wake ambao ni Raisi wa TLS Boniface Mwabukusi, Dkt. Rugemeleza Nshala, Paul Kisabo kutoka THRDC na Fredrick Msaki. Baada ya kufika kituo cha Polisi Mbweni, Mkuu wa Upelelezi alieleza kuwa Wakili Mpoki anahitajika katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kwa Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam.

Hivyo, tuliondoka na kuelekea Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam. Baada ya kufika na kuonana na Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam, alishukuru kuwaona Wakili Mwabukusi na Wakili Mpoki kwani wote walikuwa wanahitajika kwakuwa alikuwa na taarifa za Mpoki na Mwabukusi kuhusika katika kuhamasisha maandamano ya Disemba 09, 2025 kwa lengo la kuvunja Muungano, hivyo alitaka kupata ufafanuzi kuhusu taarifa hizo ambapo baada ya mazungumzo ya kina na ufafanuzi Kamanda wa Upelelezi wa Kanda ya Dar es Salaam aliwaruhusu kuondoka bila masharti yoyote.
Mbona Polisisiemu wanafanya mambo kama wamekatwa vichwa? Wazanzibar wenye hawautaki muungano hata kidogo ila mnataka kuwaangushia jumba bovu kina BAK
 
Back
Top Bottom