Usiwe na wasiwasi,wanajiandaa kwenda ile siku ya jamaa kuzungumza kiswahili iwe rahisi kwao kujieleza.Wataenda tuMawakili Wa Serikali Wanaacha Kwenda Mahakamani Afrika Kusini Kutetea Ndege Yetu Wanajazana Kisutu (Mawakili 16) Kutetea Lissu Avuliwe Ubunge! Hii Nchi Vipaumbele Vyake ni tofauti na Nchi zingine #ATCLSouthAfrica