GE2025 Mavunde: Wapuuzwe wanaotaka kutugawa kwa ajili ya maslahi yao binafsi

GE2025 Mavunde: Wapuuzwe wanaotaka kutugawa kwa ajili ya maslahi yao binafsi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
DODOMA: MAKAMU Mwenyekiti wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Peter Mavunde, amewasihi Watanzania kudumisha amani na utulivu wa taifa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.

Ametoa rai hiyo Jijini Dodoma wakati taasisi hiyo ilipotembelea miradi ya kimkakati inayotekelezwa na serikali Jijini Dodoma, ikiwa ni sehemu ya kuenzi maono ya hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mavunde amesisitiza kuwa Watanzania hawapaswi kuruhusu kundi dogo la watu kuharibu amani na mshikamano wa kitaifa.

 
Ila wahuni kujimilikisha nchi, sawa tu! Wananchi kudai haki, mnaleta porojo za kutaka kuwagawa! Foolish.
 
...maslahi yao binafsi....?!
Hawa jamaa wanashida na akili zao!
 
DODOMA: MAKAMU Mwenyekiti wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Peter Mavunde, amewasihi Watanzania kudumisha amani na utulivu wa taifa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.

Ametoa rai hiyo Jijini Dodoma wakati taasisi hiyo ilipotembelea miradi ya kimkakati inayotekelezwa na serikali Jijini Dodoma, ikiwa ni sehemu ya kuenzi maono ya hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mavunde amesisitiza kuwa Watanzania hawapaswi kuruhusu kundi dogo la watu kuharibu amani na mshikamano wa kitaifa.

View attachment 3486642
Baba yake na Waziri wa madini unategemea atasema Nini?!
 
Mzee acha kubeza artificial intelligence,itatuvusha sio akili za Stone Age za CCM ambao zaidi ya miaka 60 ya uhuru tumezidi kuwa maskini tuu
 
Back
Top Bottom