Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,232
- 8,781
Hayo kayasema leo Bungeni,pia amedai vyama vingi vimesababisha kuongezeka kwa pesa ya Ruzuku kutoka serikalini kwenda kwenye vyama vya siasa
Hayo kayasema leo Bungeni,pia amedai vyama vingi vimesababisha kuongezeka kwa pesa ya Ruzuku kutoka serikalini kwenda kwenye vyama vya siasa
Utasikia hata zile trilion 1.5 zimepotezwa na vyama vingiHayo kayasema leo Bungeni,pia amedai vyama vingi vimesababisha kuongezeka kwa pesa ya Ruzuku kutoka serikalini kwenda kwenye vyama vya siasa
Uzalendo kwa tafsiri ya awamu ya ni kuunga mkono fikra "sahihi" za jiwe. Hata hivyo wasichoelewa CCM ni kuwa upinzani uliowekewa utaratibu kwenye katiba ni bora zaidi kuliko upinzani wa ndani kwa ndani. Nyerere alishanusurika kupinduliwa mara kadhaa wakati wa chama kimoja tofauti na zama hizi za vyama vingiHayo kayasema leo Bungeni,pia amedai vyama vingi vimesababisha kuongezeka kwa pesa ya Ruzuku kutoka serikalini kwenda kwenye vyama vya siasa
Ndugu The Icebreaker hata usipoteze muda wako kurudi kuchangia. Kuchangia hoja hii ni sawa na kujishusha hadhi kuwa na sawa mtoa hoja (sio aliyei-post). Kumbuka msemo wa wenzetu "usibishane na mjiga, vinginevyo wanaowasikiliza hawataona tofauti kati yako na yeye"
Daaaah!!! Rafiki yangu,schoolmate, learned bro, ndugu ni ww kweli au tumbo ndio linaongea.. !!?? Siwezi aminiHayo kayasema leo Bungeni,pia amedai vyama vingi vimesababisha kuongezeka kwa pesa ya Ruzuku kutoka serikalini kwenda kwenye vyama vya siasa
Sick people in the helm....Hayo kayasema leo Bungeni,pia amedai vyama vingi vimesababisha kuongezeka kwa pesa ya Ruzuku kutoka serikalini kwenda kwenye vyama vya siasa