Mavi magumu athari zake au kukosa choo

Mavi magumu athari zake au kukosa choo

Albosignathus

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
4,898
Reaction score
1,051
Wana wa Adam.Napenda niwape somo fupi kuhusu mtu kunya mavi magumu au ukosefu wa kupata choo.Kwa mwanamme yeyote anaepata choo kigumu au hapati choo japo anakula watu hawa huwa HAWANA NGUVU ZA KIUME na kwa wanawake wengi wao wakizaa huzaa watoto ambao mara nyingi huwa dhaifu na magonjwa mengi hasa ya tumbo na wengine hupoteza hata maisha.Hakuna dawa za nguvu za kiume bali tumbo linapokuwa safi na mashine lazima iwe na nguvu.Ulaji wa nyama nyekundu kwa wingi husababisha malendamalenda kama kamasi ambazo unapokuwa nazo tumboni basi na jogoo hawezi kuwika na akiwika anakuwa dhaifu goli moja la kichovu au hufanyi mpaka unywe pombe au vishtua misuli.Inatakiwa upate dawa za kienyeji za kuharisha haya malendalenda na sio kuharisha ugali kwa maana wengi wana dawa za kuharisha ugali na sio malendalenda.USIIBIWE NA MTU HAKUNA DAWA YA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME ILA WATU HUCHANGANYA VIAGRA NA VUMBI NA HAWA WATU WANAZIDI KUANGAMIZA NGUVU ZA KIUME ZA WATU .Mimi sio mganga wakienyeji ila nimeyajua haya baada ya kupata matatizo na kupata dawa.
 
Hahaa kama kuna ukweli vile. Mie huwa nakuwa fiti sana pale ninapotumia dawa ya kutoa uchafu wote kwa speed (kuharisha) hasa dawa zile za kienyeji. Maana huwa nakuwa mwepesi sana.
 
Hahaa kama kuna ukweli vile. Mie huwa nakuwa fiti sana pale ninapotumia dawa ya kutoa uchafu wote kwa speed (kuharisha) hasa dawa zile za kienyeji. Maana huwa nakuwa mwepesi sana.

Tumbo linapokuwa chafu mwili hukosa hisia na ndio maana jogoo nae hununa hawi active
 
Nini chakufanya kwa wenye tatizo hilo?.

Kwakuwa kila mtanzania ana kabila lake na kila kabila lina madawa yake ya asili ya kuharisha basi mkatafute huko ila mimi nilipataga dawa ya kuharisha ya kipare.Nilichemshiwa nikainywa nikaanza kuharisha baada ya masaa nane na ilichukua kama siku 3 mashine ilirudia katika ubora wake na nilishauriwa kula unga usiokobolewa na kupunguza vyakula vya viwandani na hata soda
 
Mmh tutaskia mengi kuhusu nguvu za kiume maana kila mmoja na lake mara vitunguu mara mishkaki, mara chips leo mmekuja na mavi magumuu mwee

Mkuu,hili ni jukwaa huru kila mwanachama anahaki ya kutoa /kueleza kile anachofahamu kuhusu ugonjwa wowote. Namichango hii imesaidia wengi sana.
Upungufu wa nguvu za kiume pia ni ugonjwa.
 
So hiyo dawa inaitwaje mkuu maana kuna jamaa hapa anaitafuta coz anawiki ya pili na nusu sasa hajapata choo
 
Wana wa Adam.Napenda niwape somo fupi kuhusu mtu kunya mavi magumu au ukosefu wa kupata choo.Kwa mwanamme yeyote anaepata choo kigumu au hapati choo japo anakula watu hawa huwa HAWANA NGUVU ZA KIUME na kwa wanawake wengi wao wakizaa huzaa watoto ambao mara nyingi huwa dhaifu na magonjwa mengi hasa ya tumbo na wengine hupoteza hata maisha.Hakuna dawa za nguvu za kiume bali tumbo linapokuwa safi na mashine lazima iwe na nguvu.Ulaji wa nyama nyekundu kwa wingi husababisha malendamalenda kama kamasi ambazo unapokuwa nazo tumboni basi na jogoo hawezi kuwika na akiwika anakuwa dhaifu goli moja la kichovu au hufanyi mpaka unywe pombe au vishtua misuli.Inatakiwa upate dawa za kienyeji za kuharisha haya malendalenda na sio kuharisha ugali kwa maana wengi wana dawa za kuharisha ugali na sio malendalenda.USIIBIWE NA MTU HAKUNA DAWA YA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME ILA WATU HUCHANGANYA VIAGRA NA VUMBI NA HAWA WATU WANAZIDI KUANGAMIZA NGUVU ZA KIUME ZA WATU .Mimi sio mganga wakienyeji ila nimeyajua haya baada ya kupata matatizo na kupata dawa.

Mkuu ni dawa gani hiyo cz mi ninatatizo hilo sometimes huwa haja nayo inakuwa
na malenda malenda
 
Kuna mtu nshawahi sikia pia akisema kuhusu hiyo dawa ya kusafisha tumbo....mmh post ina ukakasi hii
 
Kwakuwa kila mtanzania ana kabila lake na kila kabila lina madawa yake ya asili ya kuharisha basi mkatafute huko ila mimi nilipataga dawa ya kuharisha ya kipare.Nilichemshiwa nikainywa nikaanza kuharisha baada ya masaa nane na ilichukua kama siku 3 mashine ilirudia katika ubora wake na nilishauriwa kula unga usiokobolewa na kupunguza vyakula vya viwandani na hata soda
Wapare wanatumia sana dawa ya punje punje inaitwa NGESI
 
Hahaa kama kuna ukweli vile. Mie huwa nakuwa fiti sana pale ninapotumia dawa ya kutoa uchafu wote kwa speed (kuharisha) hasa dawa zile za kienyeji. Maana huwa nakuwa mwepesi sana.

Dah ila unapotumia hizo dawa dah, tumbo huuma mpaka unaweza juta kwanini ulitumia.
 
So hiyo dawa inaitwaje mkuu maana kuna jamaa hapa anaitafuta coz anawiki ya pili na nusu sasa hajapata choo
Wiki ya Pili na Nusu Bado hajapata Choo?? Na Bado anakula???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom