mavazii mengine banaaa

B'REAL

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
4,572
Reaction score
3,251
khaa!!inahamashishaa tigolaizetion.....
 
Hapo kama Sansiro Club, huyo mtoto kwao katoka vipi jamani, aibu hii.
 
Huyu dada ana lake jambo,ama akili yake si nzuri,mutu mwenye akili timam hawezi kuvaa nguo kama hii,hata wazungu hawavai ivo.PUMBAVU ZAKE.
 
Hiyo ni blauzi na si gauni kama alivyovaa yeye. inapaswa kuvaliwa na nguo nyingine chini kama suruali au sketi. sasa mwenzangu na mie kaona kaupatia kweli hiii ni aibu......
 
msimlaumu sana huyo anatangaza biashara yake
 
Miaka 50 ya uhuru kauli mbiu ya magamba??...........tunasonga mbele masaburi fashion
 
Hapo kama Sansiro Club, huyo mtoto kwao katoka vipi jamani, aibu hii.
Alitoka amejitanda baibui,kama sio kanga akavulia chooni hapo disco na kuweka kwenye malboro.:A S-coffee:
:eyebrows:
 
msimlaumu sana huyo anatangaza biashara yake
Ya camerooni ama ya pungaa,au masaburi kama sikosei..!!!!Yameekaa vizuri lakinnniiii..tehee..Halafu mnasema wanawake wanabakwa...!!!wakati wapo uchi ni kuingiza tuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…