Mavazi kanisani

Mavazi kanisani

twijuke

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
547
Reaction score
252
Poleni na majukumu wapendwa wana janajanvi, niweke wazi kuwa mimi ni Mkristo, kitambo nimekuwa nikipata shida kuhusu mavazi hasa Dada zetu. Ni wazi kuwa kanisani ni nyumbani mwa Mungu, swali langu la msingi ni Je! watu wazuiwe kuvaa mavazi yasiyo ya heshima au walishwe neno ili wakisha shiba neno mioyo yao itabadilika na hatimaye kuvaa nguo za heshima?


Mfano wale dada zetu makahaba, kahaba jumamosi kalala kwenye uzinzi kunakucha asubuhi ni jumapili huku akiwa na kinguo chake kifupi anaamua nivyema amrudie Mungu, na msukumo wa hitaji la Mungu unakuwa ndo pekee ndani ya moyo wake,anaoona hahitaji kurudi hata nyumbani badalayake anaamua aeende kanisani ili kutubu na kumrudia Mungu, je! huyu mwnzetu tunamuhukumje akiwa na kinguo chake nusu uchi ndani mwa nyumba ya Mungu?

Karibuni wachambuzi nataraji hekima na busara itatumika kwa maelekezo.
 
Poleni na majukumu wapendwa wana janajanvi, niweke wazi kuwa mimi ni Mkristo, kitambo nimekuwa nikipata shida kuhusu mavazi hasa Dada zetu. Ni wazi kuwa kanisani ni nyumbani mwa Mungu, swali langu la msingi ni Je! watu wazuiwe kuvaa mavazi yasiyo ya heshima au walishwe neno ili wakisha shiba neno mioyo yao itabadilika na hatimaye kuvaa nguo za heshima?


Mfano wale dada zetu makahaba, kahaba jumamosi kalala kwenye uzinzi kunakucha asubuhi ni jumapili huku akiwa na kinguo chake kifupi anaamua nivyema amrudie Mungu, na msukumo wa hitaji la Mungu unakuwa ndo pekee ndani ya moyo wake,anaoona hahitaji kurudi hata nyumbani badalayake anaamua aeende kanisani ili kutubu na kumrudia Mungu, je! huyu mwnzetu tunamuhukumje akiwa na kinguo chake nusu uchi ndani mwa nyumba ya Mungu?

Karibuni wachambuzi nataraji hekima na busara itatumika kwa maelekezo.

....hamna sheria,busara na roho wa Mungu atawaongoza kulingana na mazingira na hekima mlizonazo. Angalieni msigeuke mafarisayo kama wengine walivyo bila wao kujitambua...!!ntarudi nipatapo wasaa...
 
Poleni na majukumu wapendwa wana janajanvi, niweke wazi kuwa mimi ni Mkristo, kitambo nimekuwa nikipata shida kuhusu mavazi hasa Dada zetu. Ni wazi kuwa kanisani ni nyumbani mwa Mungu, swali langu la msingi ni Je! watu wazuiwe kuvaa mavazi yasiyo ya heshima au walishwe neno ili wakisha shiba neno mioyo yao itabadilika na hatimaye kuvaa nguo za heshima?


Mfano wale dada zetu makahaba, kahaba jumamosi kalala kwenye uzinzi kunakucha asubuhi ni jumapili huku akiwa na kinguo chake kifupi anaamua nivyema amrudie Mungu, na msukumo wa hitaji la Mungu unakuwa ndo pekee ndani ya moyo wake,anaoona hahitaji kurudi hata nyumbani badalayake anaamua aeende kanisani ili kutubu na kumrudia Mungu, je! huyu mwnzetu tunamuhukumje akiwa na kinguo chake nusu uchi ndani mwa nyumba ya Mungu?

Karibuni wachambuzi nataraji hekima na busara itatumika kwa maelekezo.

Kila panapojumuika watu wanakuwa na katiba yao,ambayo ndio sheria wanayoifuata,kwa mfano waislamu katiba yao ni quran,ndio kuna muongozo wa maisha yao,na ndio pia kuna maelekezo ya mavazi ya ibada kwa wanawake na wanaume pia.Je ndani ya biblia hakuna maelekezo ya kuvaa?
 
hapo mwisho uliposema "umhukumuje" unasoma biblia wewe?

Imeandikwa " usihukumu maana nawe utahukumiwa...." Kipimo kilekile unachompia mwenzio nawe utapimiwa

Kuhukumu ni kazi ya Mungu

Hao mnaowaita makahaba Muwahubirie neno la Mungu ili wabadilike

Kumbuka "sikuja kuwaita watu wema bali wenyedhambi....."

Na hilo kanisa halina kanga za wawata? Wawavishe wanaovaa hovyo ili kuwafunZa na utaona jumapili inayofuata watabadilika, na zaidi kwa maombi na miongozo toka kwenu
 
Kanisani kwetu wanavalishwa magunia ndo waingie kusali hakuna anayerudia jumapili ijayo
 
kahaba toka site mpaka kanisani, kanisa la wapi hilo

Mhuu hata mimi nashangaa!

Kwanza wakati makahaba wanapita mitaani kuelekea kwenye sehemu zao huwa wanafunika viguo vyao vifupi kwa kanga n.k.; itakuwa kwenda nazo kanisani?!
 
Poleni na majukumu wapendwa wana janajanvi, niweke wazi kuwa mimi ni Mkristo, kitambo nimekuwa nikipata shida kuhusu mavazi hasa Dada zetu. Ni wazi kuwa kanisani ni nyumbani mwa Mungu, swali langu la msingi ni Je! watu wazuiwe kuvaa mavazi yasiyo ya heshima au walishwe neno ili wakisha shiba neno mioyo yao itabadilika na hatimaye kuvaa nguo za heshima?


Mfano wale dada zetu makahaba, kahaba jumamosi kalala kwenye uzinzi kunakucha asubuhi ni jumapili huku akiwa na kinguo chake kifupi anaamua nivyema amrudie Mungu, na msukumo wa hitaji la Mungu unakuwa ndo pekee ndani ya moyo wake,anaoona hahitaji kurudi hata nyumbani badalayake anaamua aeende kanisani ili kutubu na kumrudia Mungu, je! huyu mwnzetu tunamuhukumje akiwa na kinguo chake nusu uchi ndani mwa nyumba ya Mungu?

Karibuni wachambuzi nataraji hekima na busara itatumika kwa maelekezo.

Una maono ya kufikirika badala ya ukweli na hali halisi ya maisha.
Kwenda nyumba za kuabudia kwa kawaida na hali halisi kuna maandalizi kwa mtu mwenyewe hali halisi nyumba hizo za kuabudiwa huandaliwa na ndio maana kuna muda maalumu ambao waabudu hukutana huko, kama ni jambo la mtu binafsi muda wo wote na po pote ana nafasi ya kumkumkumbuka Mungu, kuswali, kutubu, nk

Someni vitabu vinavyohusu imani na misahafu badala ya kukurupuka kwamba mtu anatoka tu huko aliko na kutumbukia tu kanisani.

Suala la kuvaa nguo za heshima si kanisani au msikitini tu, bali ni po pote kimaadili, kwamba ametoka kwenye mambo yake ndipo atumie nguo hizo hizo kuingia kwenye nyumba za kuabudia kuna dalili ya kwamba mleta mada anawapigia debe wafanyavyo hivyo.

Soma biblia agano jipya ambapo inaelezwa wazi kuwa akina mama waendapo kusali wavaaje licha ya kufunika vichwa vyao kama wafanyavyo akina mama waendao misikitini. Kanisa kwa kulegeza utaratibu huo sasa tunataka kulegeza zaidi akina mama waingie kanisani mabega wazi, maziwa nje nje tu, mapaja hadharani, na mengine.

Tunaenda kanisani kumtafakari neno la Mungu si kutafakari maumbile ya wanawake wanaoenda huko kuanika maumbile yao kwa uwazi kanisani.
 
kwa zaidi ya miaka 2000 ya ukristo bado hamjajua jinsi ya kuvaa muendapo kanisani?
 
Kila panapojumuika watu wanakuwa na katiba yao,ambayo ndio sheria wanayoifuata,kwa mfano waislamu katiba yao ni quran,ndio kuna muongozo wa maisha yao,na ndio pia kuna maelekezo ya mavazi ya ibada kwa wanawake na wanaume pia.Je ndani ya biblia hakuna maelekezo ya kuvaa?


Haya ndo majibu...
1 Timetheo 2: 9-10
Mambo ya walawi 19:20, 22:5
1 Wakorinto 11:6
1 Wakorinto 11: 1-34

N
a hii ni baadhi tu ya mistari,,,, ila kiukweli aslimia kubwa ya WANAWAKE WA KIKRISTO wako NJE ya uvaaji wa Kibiblia maana MITUME yao[ YA SASA] inawaambia eti Mungu anaangalia Roho na siyo mavazi...
 
Sisi wanadamu tunahumu kwa kuangalia matendo ya mtu na siyo ayasemayo,Ila MUNGU aonaye sirini ndiye Peke yake atoaye hukumu ya kweli na haki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom