Wako waliomdharau hata mungu na kumheshimu HabhinderNimekudharau mno
wanasimba tukianza kuwa na mawazo kama haya msimu huu tutaenda patupu,lazma tuwaze maxi,boyeli,pacome wanakabwa vpJe ni Yanga, Hersi Saidi au GSM? unadhani ni kwanini?
Taarifa zingine zinadokeza kwamba Timu ya Yanga haina hata Akaunti ya Benki, hata kama wanapaswa kulipwa hizo hela watawekewa wapi au wapelekewe Jangwani?
Akaunt za taasisi hua na signatories sio kadi na password boss.Hiyo iliyopelekwa CAF, Yanga ndio wenye kadi na password? 😃
Signatories ni kwa wamiliki (wenye akaunti), lakini mtu anayedeposit wala hahitaji kujua hela itakuwa withdrawn kwa utaratibu upi.Akaunt za taasisi hua na signatories sio kadi na password boss.
Anayedeposit hana matumizi na kadi wala password mkuu, anahitaji jina la acc, taasisi ya fedha na akaunt namba.Signatories ni kwa wamiliki (wenye akaunti), lakini mtu anayedeposit wala hahitaji kujua hela itakuwa withdrawn kwa utaratibu upi.
Ndio maana nikasema wajanja waliokamata klabu wanaweza wakampelekea depositor account ya mtu binafsiAnayedeposit hana matumizi na kadi wala password mkuu, anahitaji jina la acc, taasisi ya fedha na akaunt namba.
Hahaha, yenye jina la YANGA siyo? Wakati wa ukaguzi itawaletea shida. Unless walindwe na serikali.Ndio maana nikasema wajanja waliokamata klabu wanaweza wakampelekea depositor account ya mtu binafsi
Ww jamaa ni mpumbavu sana, ila anyway vp mumeo mstaafu anaendeleaje huko?Je ni Yanga, Hersi Saidi au GSM? unadhani ni kwanini?
Taarifa zingine zinadokeza kwamba Timu ya Yanga haina hata Akaunti ya Benki, hata kama wanapaswa kulipwa hizo hela watawekewa wapi au wapelekewe Jangwani?
Una maana hata zile za kuvukia barabara sina?Huna akili wewe