Mauzo ya gesi yaongezeka

Mauzo ya gesi yaongezeka

LopoLopo

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2025
Posts
229
Reaction score
135
Wakati Rais Samia anaingia madarakani mapato ya mauzo yatokanayo na gesi asilia yalifikia $55.12milioni sawa na TZS.143,313milioni Mwaka 2024 yameongezeka na kufikia $144.10milioni au TZS374,660milioni sawa na ongezeko la $88.98milioni sawa na TZS231,348milioni ambayo ni 161%.Hii ni karibia mara mbili ya uzalishaji wa mwaka 2020 ni mara tatu ya mauzo ya mwaka 2015 ambayo yalikua ni $45.7milioni, Hiki ni kiashiria kuwa Rais Samia na mpango wake wa “nishati safi kwa wote” umeanza kueleweka kwa Watanzania walio wengi
 
Wakati Rais Samia anaingia madarakani mapato ya mauzo yatokanayo na gesi asilia yalifikia $55.12milioni sawa na TZS.143,313milioni Mwaka 2024 yameongezeka na kufikia $144.10milioni au TZS374,660milioni sawa na ongezeko la $88.98milioni sawa na TZS231,348milioni ambayo ni 161%.Hii ni karibia mara mbili ya uzalishaji wa mwaka 2020 ni mara tatu ya mauzo ya mwaka 2015 ambayo yalikua ni $45.7milioni, Hiki ni kiashiria kuwa Rais Samia na mpango wake wa “nishati safi kwa wote” umeanza kueleweka kwa Watanzania walio wengi
NRNE
 
"nishati safi kwa wote" ni wazo la Watanzania wote sio SSH

NRNE
 
Wakati Rais Samia anaingia madarakani mapato ya mauzo yatokanayo na gesi asilia yalifikia $55.12milioni sawa na TZS.143,313milioni Mwaka 2024 yameongezeka na kufikia $144.10milioni au TZS374,660milioni sawa na ongezeko la $88.98milioni sawa na TZS231,348milioni ambayo ni 161%.Hii ni karibia mara mbili ya uzalishaji wa mwaka 2020 ni mara tatu ya mauzo ya mwaka 2015 ambayo yalikua ni $45.7milioni, Hiki ni kiashiria kuwa Rais Samia na mpango wake wa “nishati safi kwa wote” umeanza kueleweka kwa Watanzania walio wengi
Wekeni na matumizi msitusomee mapato pekeake
 
Mauzo yaongezeka na bei ya gas ni imepanda, faida ni ya nani?
 
Back
Top Bottom