China marufuku kutumia iPhone

China marufuku kutumia iPhone

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,285
Reaction score
2,595
Mambo yanazidi kushika Moto [emoji87] Duniani

iphoneban.jpg


[emoji189]Serikali ya nchi ya china imezuia watumishi wa serikalini (wafanyakazi) kutumia simu za iphones makazini.

Kupitia ripoti iliyotolewa na the wall street Journal, kuwa wafanyakazi wa serikalini kuanzia wabunge, wanasiasa, wanajeshi marufuku kutumia simu ya iphone kwa ajili ya shughuli za ofisini au wakiwa makazani Yani kiujumla hawataki kwenda nazo makazini.

View attachment 2741435

[emoji189]Kupitia kwenye vyanzo ambavyo havijatajwa Majina kuwa china inataka kuondoa au kupunguza utegemezi wa nchi hiyo kutumia au kutemea teknolojia za kigeni kwa ajili ya usalama wq Mtandao pamoja kuzuia data ambazo nyeti kuvuja nchini kwao.

[emoji189] Hali hii imekuja kuongeza ulinzi wa kimtandao (cyber security) wanahofia data zao zinaweza kuvujishwa na Serikali za kigeni. Hatua hiyo inalenga simu zote za Smartphone ambazo zinatengenezwa toka nje ya nchi ya China.

images%20-%202023-09-06T221026.766.jpg


Lakini kampuni ya Apple ndiyo inaongoza kuuza bidhaa zake mbalimbali nchini china pamoja na Kampuni ya Huawei. Pia marekani imepiga marufuku kutumia teknolojia za kigeni toka china kuanzia simu za Huawei, ZTE , app tiktok wanaamini data zao zinakua sio salama.

Tukio la china kuzuia kutumika simu za apple makazini ni kutaka kuongeza juu ya uuzaji wa Simu za Huawei nchini kwao.


images%20-%202023-09-06T221528.571.jpg
 
Na Huawei aliwekewa vikwazo vilivyomfanya asiweze kuuza bidhaa Global

Kwasababu Marekani alipiga marufuku Huawei wasitumie operation system ya Google.

Na pale Huawei alipoanza kupambana kutengeneza OS yake alikumbana na vikwazo vingine kuwa asiweke app yeyote iliyokuwa designed na US developers.

Maana yake simu yao isingekuwa na WhatsApp, facebook, twitter wala instagram.

China wao hivyo vitu sio kipaumbele kwakua wanazo social media zao kama WeChat nk.

Sasa nje ya China ni nani ambaye angekuwa tayari kununua simu ambayo haina vitu hivyo?
 
Ili hali wafanyakazi wa serikali TZ wanapenda kutumia viswaswadu
 
Na Huawei aliwekewa vikwazo vilivyomfanya asiweze kuuza bidhaa Global

Kwasababu Marekani alipiga marufuku Huawei wasitumie operation system ya Google.

Na pale Huawei alipoanza kupambana kutengeneza OS yake alikumbana na vikwazo vingine kuwa asiweke app yeyote iliyokuwa designed na US developers.

Maana yake simu yao isingekuwa na WhatsApp, facebook, twitter wala instagram.

China wao hivyo vitu sio kipaumbele kwakua wanazo social media zao kama WeChat nk.

Sasa nje ya China ni nani ambaye angekuwa tayari kununua simu ambayo haina vitu hivyo?
Ndugu yangu China wsna IQ kubws dsna.

Sisi tuendelee kuuza maliSili zetu mambo yawaendee vyema viongozi wakuu
 
Mambo yanazidi kushika Moto [emoji87] Duniani

View attachment 2741436

[emoji189]Serikali ya nchi ya china imezuia watumishi wa serikalini (wafanyakazi) kutumia simu za iphones makazini.

Kupitia ripoti iliyotolewa na the wall street Journal, kuwa wafanyakazi wa serikalini kuanzia wabunge, wanasiasa, wanajeshi marufuku kutumia simu ya iphone kwa ajili ya shughuli za ofisini au wakiwa makazani Yani kiujumla hawataki kwenda nazo makazini.

View attachment 2741435

[emoji189]Kupitia kwenye vyanzo ambavyo havijatajwa Majina kuwa china inataka kuondoa au kupunguza utegemezi wa nchi hiyo kutumia au kutemea teknolojia za kigeni kwa ajili ya usalama wq Mtandao pamoja kuzuia data ambazo nyeti kuvuja nchini kwao.

[emoji189] Hali hii imekuja kuongeza ulinzi wa kimtandao (cyber security) wanahofia data zao zinaweza kuvujishwa na Serikali za kigeni. Hatua hiyo inalenga simu zote za Smartphone ambazo zinatengenezwa toka nje ya nchi ya China.

View attachment 2741437

Lakini kampuni ya Apple ndiyo inaongoza kuuza bidhaa zake mbalimbali nchini china pamoja na Kampuni ya Huawei. Pia marekani imepiga marufuku kutumia teknolojia za kigeni toka china kuanzia simu za Huawei, ZTE , app tiktok wanaamini data zao zinakua sio salama.

Tukio la china kuzuia kutumika simu za apple makazini ni kutaka kuongeza juu ya uuzaji wa Simu za Huawei nchini kwao.


View attachment 2741438
The power of intelligence. Ndio itakayo jibu maswali ya nani mbabe. Ila USA mjanja zaidi ktk hili nakishi yake ya budget nikubwa sana na kuzuwia makampuni ya sim ya china ni mpango wakiusalama wenye nia yakumfanya joka kubwa la Asia kujinyorongota kwenye msumeno ulio nuangukia na yeye kwa hasira akaanza pambana nao kumbe ndio anajimaliza.
Ikumbuke kuwa USA amewekeza ndani ya China nakujiondoa ni chanzo na mwanzo wa China kuporomoka kiuchumi. Ona hii...
China anaziwia iphone isitumike kwa watu wake ila kampuni I phone under licence ipo china na inauza sana bidhaa hii kuizuwia isitumike kwako nikichekesho maana wamarekani wanatumia zaidi brand yao na Dunia wameelewa zaidi brand hii ktk Dunia iphone na Samsung wanauza zaidi duniani so mchina king Cobra amevamia msumeno ulio mwangukia jambo litamtoa kwenye game. Hata sasa naandika sekta ya nyumba imeumia sana kwenye huu mtanange kiasi serikali ipo kwa kuti kavu.
 
Back
Top Bottom