Mauwaji ya kinyama Moshi

Mauwaji ya kinyama Moshi

Mkazi wa Himo Silvia Chapa (30) auawa kwa kuchinjwa na mumewe Michael Alphonse (28) usiku wa manane. Polisi waokota mwili wake leo saa 5 asubuhi.


Enheeeee, ndugu zetu wameenza tena yale masuala ya Ufoo, aisee?
 
Tema mate chini.. Omba yasikukute haya mambo.
 
mambo hayo... ladies... hapana chezea wakina haika mbeeeh..... nouma saana
 
Si mlikuwa mnajidai hamna wivu?!! Sasa imekuwaje tena? Eti mke anakaa Moshi mwanaume anafanya biashara Sumbawanga, Mwanza, Shinyanga n.k Eti Krismasi ndo anaenda kusalimia familia sasa yako wapi? Kaeni karibu na wake zenu jamani!!
 
Mwaka wao huu, mapenzi yamewashinda na chama chao hali kadhalika...
 
Back
Top Bottom