Mauaji mengine ya wapenzi kutoka Moshi!!!Mkazi wa Himo Silvia Chapa (30) auawa kwa kuchinjwa na mumewe Michael Alphonse (28) usiku wa manane. Polisi waokota mwili wake leo saa 5 asubuhi.
Oleweni na wamakonde... Hawa wachaga wenzenu watawamaliza huku mkijiona...jamani ni nini? aya mapenzi ni ya kukimbia kama ukoma....
Michael Alphonse (28) wa Himo, Moshi aliyemchinja mkewe usiku wa leo yuko mahututi hospitali KCMC baada ya kujaribu kujiua kwa kunywa sumu.Mauaji mengine ya wapenzi kutoka Moshi!!!
Huko nyumbani kwao na Munisi, na Mushi hatushangai siku hizi.
Tumuombe Mungu, mauaji yasizidi yale ya ajabu yanayo tokea Mbeya kila kukicha.
Mauaji mengine ya wapenzi kutoka Moshi!!!
Huko nyumbani kwao na Munisi, na Mushi hatushangai siku hizi.
Mkazi wa Himo Silvia Chapa (30) auawa kwa kuchinjwa na mumewe Michael Alphonse (28) usiku wa manane. Polisi waokota mwili wake leo saa 5 asubuhi.
jamani ni nini? aya mapenzi ni ya kukimbia kama ukoma....
Hange nchagga bhagosha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mkazi wa Himo Silvia Chapa (30) auawa kwa kuchinjwa na mumewe Michael Alphonse (28) usiku wa manane. Polisi waokota mwili wake leo saa 5 asubuhi.