L liganga4 JF-Expert Member Aug 29, 2010 293 195 Apr 3, 2012 #1 Mfanyakazi Mantrac ameuwawa kikatili kwa kuchinjwa usiku wa kuamkia tar 1/4/12 nayamongo karibu na bar ya mikoroshini
Mfanyakazi Mantrac ameuwawa kikatili kwa kuchinjwa usiku wa kuamkia tar 1/4/12 nayamongo karibu na bar ya mikoroshini
NYENJENKURU JF-Expert Member Feb 11, 2011 1,063 288 Apr 3, 2012 #2 eeeehhh.Si hawa zamani Cattapilar...wana office nyerere road?Jammani pole sana
Kigogo JF-Expert Member Dec 14, 2007 20,508 6,146 Apr 3, 2012 #4 ndo wakome ..na hivi walikuwa wamepokea mshahara juzi basi atakuwa kakamatwa na Nyamboga
Bourgeoisie JF-Expert Member Mar 26, 2009 656 162 Apr 3, 2012 #5 Hakika ni masikitiko makubwa mtu kuchinjwa kama kuku, for whatever reasons!
Jayfour_King JF-Expert Member Nov 15, 2009 1,135 128 Apr 3, 2012 #6 Kigogo said: ndo wakome ..na hivi walikuwa wamepokea mshahara juzi basi atakuwa kakamatwa na Nyamboga Click to expand... Brother akili zako wakati mwingine!
Kigogo said: ndo wakome ..na hivi walikuwa wamepokea mshahara juzi basi atakuwa kakamatwa na Nyamboga Click to expand... Brother akili zako wakati mwingine!