Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
- Thread starter
- #61
Nikimpelekea mzenji mauwa ya Rose atashangaa sana! Atajua Pendo limeongezeka na kumbuka ni muda wa lunch, tutatoka wote kwenda kula chips dume na Maji ya uhai. Hapo mzenji lazima ataniogesha na Maji yenye iriki, nikikalishwa kwenye kigoda na mambo kwenye kisosi! Mapenzi kujituma Mzee mwenzanguBasi na wewe badilika kwanza...Unataka kibadilike kitu gani kama unaendelea kuvaa hiyo kofia na ndevu hunyoi??
Babu DC!!