Mautundu ya Computer HAYA

Mautundu ya Computer HAYA

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,822
Reaction score
5,415
Samahani kama ilishafika hii trick hap jf ila kama bado basi acha niwape hii
click Start menu then RUN
Type ... then enter (what happened
au kisha andika hivi .. then enter
au hivi . then enter


ukiandika hizo dot 3 itafunguka my computer
ukiandika hizo dot 2 itafunguka document and settings
 
Samahani kama ilishafika hii trick hap jf ila kama bado basi acha niwape hii
click Start menu then RUN
Type ... then enter (what happened
au kisha andika hivi .. then enter
au hivi . then enter


ukiandika hizo dot 3 itafunguka my computer
ukiandika hizo dot 2 itafunguka document and settings
mwaga zingine mkuu
 
Hii ni sababu ya root directory ya windows ina anzia kwenye platform ya windows 95.
 
Hii ni sababu ya root directory ya windows ina anzia kwenye platform ya windows 95.

kwa hiyo inakuwa ni sawa na kuingia kwenye menu ya simu ya nokia na kuanza kuandika namba ili iweze kufungua kwa mfano create new sms au gallery na mengine mengi tu..
 
weye c kweli mbona mimi nikitype inarum mozila firefox? natumia windows 7.
 
sorry! bt ukishafanya hayo wat next? nahisi km cjaelewa jaman
 
Ungedaadavua kidogo manake naona baadhi hawajakusoma fresh
 
Ungedaadavua kidogo manake naona baadhi hawajakusoma fresh


nenda kwenye start menu kisha type this ... ( i mean type> dot dot dot yaani dot ziwe tatu) kisha bonya enter, alafu angalia kitatokea nini
 
Samahani kama ilishafika hii trick hap jf ila kama bado basi acha niwape hii
click Start menu then RUN
Type ... then enter (what happened
au kisha andika hivi .. then enter
au hivi . then enter


ukiandika hizo dot 3 itafunguka my computer
ukiandika hizo dot 2 itafunguka document and settings
Hiyo hata ukiclick dot zote mpaka mwisho lazima ifunguke my computer!!
 
kwa mtu yoyote anayetumia windows njia ya faster kufungua my computer click windowsbutton+E ..natumaini mmenisoma....mkitaka vingine msisite kuusema
 
Back
Top Bottom