Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 6,244
- 2,816
Definition ya Ushoga ni kujihusha na mapenzi ya Jinsia moja 😁
Kwahiyo asante kwa kunijibu.
Usituletee definition
Kumbe ulisha mpa boga lako ??
Definition ya Ushoga ni kujihusha na mapenzi ya Jinsia moja 😁
Kwahiyo asante kwa kunijibu.
Yeye anaishi Muscat Oman mimi naishi Muscat ya Fisi Lohumbo wapi na wapi?Usituletee definition
Kumbe ulisha mpa boga lako ??
Usituletee definitionYeye anaishi Muscat Oman mimi naishi Muscat ya Fisi Lohumbo wapi na wapi?
Kwahiyo mnataka kuanzisha Janjaweed Arab Militias huko Zanzibar kama mnavyofanya huko Sudan?Usituletee definition
Kumbe ulisha mpa boga lako ??
hebu nenda basi huko Dubai ukajaribu hata kukamatana mikono na mwenza wako huku mukibusiana uone kama utarudi salama.Acha uwongo. Nimekaa siku kadhaa Dubai wakati wa mfungo, sikushuhudia huo ujinga.
Hakuna airport yenye duka kubwa la vileo na wateja wengi, kama Dubai, jambo ambalo sikulitarajia.
Huwezi kuilinganisha Mauritius na Zanzibar hata siku moja kwa kupata watalii. Data siyo za kweli Ila wanatuzidi. Hata maendeleo wako mbaliJe unajua kwamba zanzibar imekuwa ranked as best island destination duniani 2024???
Na unajua kwamba data za mleta mada kwamba mauritius inapokea watalii 3m kwa mwaka ni uongo??
Waislam wakiacha kuikailia Zanzibar itainuka maana unafiki wa kidini ndo unaoididimizaMchawi wa Zanzibar ni Tanganyika. Tanganyika waache kuikalia Zanzibar kimabavu
Waislam wakiacha kuikailia Zanzibar itainuka maana unafiki wa kidini ndo unaoididimiza
Kuna ujinga ZNZ unaendekezwa sana hasa UISLAMU. Dini ni kitu binafsi lakini ZNZ wanataka kila aliye ZNZ afuate dini yao. Kwa mfano kula chakula wakati wa mwezi wa Ramadhani inaonekana ni jinai. Ujinga huu ndiyo mje mfanane na Mauritius?Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mobility kwa siku abiria (600x2) pw mojan na mashirika mengine kama Flysafair, Air Mauritius, Kenya, Qatar na mengineyo kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka.
Hapana haihitajiki Kama unaenda kutaliiWatanzania (Zanzibaris) tunahitaji viza huko?
Usituletee definitionKwahiyo mnataka kuanzisha Janjaweed Arab Militias huko Zanzibar kama mnavyofanya huko Sudan?
Kuna ujinga ZNZ unaendekezwa sana hasa UISLAMU. Dini ni kitu binafsi lakini ZNZ wanataka kila aliye ZNZ afuate dini yao. Kwa mfano kula chakula wakati wa mwezi wa Ramadhani inaonekana ni jinai. Ujinga huu ndiyo mje mfanane na Mauritius?
Miaka 2010-2014 kabla JK hajakamata wale Uamsho akina Sheikh Farid na Mselem, wahuni ZNZ wallikuwa wanachoma makanisa na kuua mapadri, halafu ndiyo uje ufanane na Mauritius?? THUBUTU
Waislam wakiacha kuikailia Zanzibar itainuka maana unafiki wa kidini ndo unaoididimiza
yaani zanzibar haifai kulinganishwa na chochote. mauritius hawarushi mabom ya petroli kwenye makanisa, sio mashoga, hawana vigodoro, wanaenda shule hawapotezi muda madrasa, pia wana akili sio mambumbumbu.