Maunda Zorro we miss you

Sure mkuu..Uenda pia hayuko karibu na wadau..Kwani anasimamiwa na nani huyu?
 
Wengine si nyimbo zao huandikiwa wao waimbe kwa makubaliano fulani ya kimdomo, na baada ya hapo mtu masharti na vigezo humshinda
kuandikiwa nyimbo ni kitu cha kawaida ,mfano babyface kwaandikia nyimbo jamaa wengi sana wakiwemo boyz 2 men
 
...wallah dunia haiishagi vituko!..yani mtu ana mkomwe kama chimpanzee,lishingo ka pira la mav.i afu eti anakandia miguu ya mwenzie!
...kweli nyani haoni kundule!
 
...wallah dunia haiishagi vituko!..yani mtu ana mkomwe kama chimpanzee,lishingo ka pira la mav.i afu eti anakandia miguu ya mwenzie!
...kweli nyani haoni kundule!
Hahahahaaaaa umetisha
 
Hv kaenda wapi maskini maana alikuwa anatugusa kweli kwenye moyo
 
Hakuna utani hapo, huo ndio ukweli uliotukuka, Jay Dee Kapigiwa sana promo, lakini Maunda Zorro ni habari nyingine mkuu
Sisemi kuwa Maunda hana talent. Na ni kweli kuwa JD kafanyiwa promo. Still kusema Maunda ana uwezo kuliko JD ni ludicrous.
 
...wallah dunia haiishagi vituko!..yani mtu ana mkomwe kama chimpanzee,lishingo ka pira la mav.i afu eti anakandia miguu ya mwenzie!
...kweli nyani haoni kundule!
K😱😱😱kumbe unamjua πŸ˜•πŸ˜•
 
Huyu dada jaman...tuanzishe hashtags kule instagram labda ikitrend atarudi tena kwa game
 
NONE OF UR BIZZ KWANI HUO MZIKI AMEIMBAJE KWENDRAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA KAKOJOE ULALE HETA NDO UCHAFU GANI MALIZA HOME WORK NYAMBAFU WEWE KAMA JITU LINAIMBA UCHI LISIAMBIWE MAMAMAE ZAKO
Khaaaa... We Flora, alikua anatania tu jamani.. Doh
 
...wallah dunia haiishagi vituko!..yani mtu ana mkomwe kama chimpanzee,lishingo ka pira la mav.i afu eti anakandia miguu ya mwenzie!
...kweli nyani haoni kundule!
Hahahaha hahaha hahahaha ndo nini umesema hapa?!, unawashwa ww au unasaka Kiki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…