Naombeni maombi yenu, mpenzi wangu nampenda sana lakini tumegombana na ni wiki ya pili saivi hatuna maelewano, nampigia simu hapokei, msg hajibu. Hapa nipo kazini nimepigia kwa simu ya ofisini baada ya kugundua ni mimi ya ofisini sasa hivi hapokei.
Naumia sana sijui kwa nini mimi tu maumivu haya yananipata.
Najiona kama sina haki ya kupendwa, Mungu nisaidie kipindi hiki kinipite salama.
Naumia sana sijui kwa nini mimi tu maumivu haya yananipata.
Najiona kama sina haki ya kupendwa, Mungu nisaidie kipindi hiki kinipite salama.