Maumivu yananitesa

Maumivu yananitesa

LAKI

Senior Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
100
Reaction score
37
Naombeni maombi yenu, mpenzi wangu nampenda sana lakini tumegombana na ni wiki ya pili saivi hatuna maelewano, nampigia simu hapokei, msg hajibu. Hapa nipo kazini nimepigia kwa simu ya ofisini baada ya kugundua ni mimi ya ofisini sasa hivi hapokei.

Naumia sana sijui kwa nini mimi tu maumivu haya yananipata.

Najiona kama sina haki ya kupendwa, Mungu nisaidie kipindi hiki kinipite salama.
 
Mmmh,wala si madogo,mme gombana kisa nini? yeye ndio amekukosea au wewe? na hilo kosa unahisi unastahili kufanyiwa unavyofanyiwa? au anajua kua kwake umeoza umeroa rovyo rovyo kwa penzi lake ndio mana anakufanyia vitimbi vya kusudi?
sikwambi hakufai ila jiulize mara ngapi utakua unakosa raha? kwa kosa gani ulofanya lisosamehewa? na ningekua wewe hiyo simu moja na sms ya apology 1 baada ya hapo ndio angeniona kama kituo cha Police......
 
nini hasa mlichogombania? nataka kupima uzito wa kosa na adhabu anayoku punish.
 
Pole sana, usijali wewe fanya yako,na hili nalo litapita.
 
Mmmh,wala si madogo,mme gombana kisa nini? yeye ndio amekukosea au wewe? na hilo kosa unahisi unastahili kufanyiwa unavyofanyiwa? au anajua kua kwake umeoza umeroa rovyo rovyo kwa penzi lake ndio mana anakufanyia vitimbi vya kusudi?
sikwambi hakufai ila jiulize mara ngapi utakua unakosa raha? kwa kosa gani ulofanya lisosamehewa? na ningekua wewe hiyo simu moja na sms ya apology 1 baada ya hapo ndio angeniona kama kituo cha Police......

Asante kwa kunitia moyo, yaani nimekua nikikosea nakuwa mwepesi kuomba msamaha ila yeye akinikosea nikimwambia hapo umenikwaza hataki anasema yeye ndo mwanaume sasa mimi naumia maana nakwazika, ameamua tuachane kwa sababu kuwa sitaki kuwa chini yake. Naumia sana basi tu
 
Naombeni maombi yenu, mpenzi wangu nampenda sana lakini tumegombana na ni wiki ya pili saivi hatuna maelewano, nampigia simu hapokei, msg hajibu. Hapa nipo kazini nimepigia kwa simu ya ofisini baada ya kugundua ni mimi ya ofisini saiv hapokei. Naumia sana sijui kwa nini mimi tu maumivu haya yananipta.

Najiona kama sina haki ya kupendwa, Mungu nisaidie kipindi hiki kinipite salama.

unampenda malaya hawala zaidi ya mama yako muda unaotumia huo sungetumia kumjulia hali mama yako ungepata baraka nyingi sana fanya kazi usilazimishe kitu utakuja uumie
 
tatizo ni nini? kama amuna sababu ya msingi ya nyie kufanyiana hivyo ma dear just do other thing achana nae..... hivi kuchuniana inakuwaje sijawahi fanya huo mchezo aiseeeeeeee. mimi ningekuwa nimeshajichanganya na kuachana nae
 
Jaribu kumuignore na yeye, kama anakupenda atakutafuta!
 
Inaonekana umeshamwagwa,angalia ustaarabu mwingine.
 
Asante kwa kunitia moyo, yaani nimekua nikikosea nakuwa mwepesi kuomba msamaha ila yeye akinikosea nikimwambia hapo umenikwaza hataki anasema yeye ndo mwanaume sasa mimi naumia maana nakwazika, ameamua tuachane kwa sababu kuwa sitaki kuwa chini yake. Naumia sana basi tu


huyo hana mapenzi,mapenzi hayana udikteta
 
nini hasa mlichogombania? nataka kupima uzito wa kosa na adhabu anayoku punish.

Ni mambo mengi, lakini kikubwa tunagombana kisa hataki tukapime afya, akikosea hataki nimrekebishe ila ikitokea kwa bahati mbaya nimekosea hata kidogo tu au msg nmemjibu tofauti basi anasema tuachane eti mimi sitaki kuwa chini yake.

Kingine yeye ni mwanaume lakini hataki sex hata nikimwambia ansema sio priority yake,nikimuliza kwa nia nzuri tu isije ukawa una tatzo. basi ndo amezira eti nmemtukana. Yaani mpaka naihi nae kwa kuogopa badala ya kufurahi.

pamoja na hayo yote nampenda sana naumia sana,
 
pole, kimbia mapema kabla mambo hayajawa mazito,he is taking u for granted
 
ni mambo mengi, lakini kikubwa tunagombana kisa hataki tukapime afya, akikosea hataki nimrekebishe ila ikitokea kwa bahati mbaya nimekosea hata kidogo tu au msg nmemjibu tofauti basi anasema tuachane eti mimi sitaki kuwa chini yake.

Kingine yeye ni mwanaume lakini hataki sex hata nikimwambia ansema sio priority yake,nikimuliza kwa nia nzuri tu isije ukawa una tatzo. Basi ndo amezira eti nmemtukana. Yaani mpaka naihi nae kwa kuogopa badala ya kufurahi.

Pamoja na hayo yote nampenda sana naumia sana,



mmmmmh!
 
tatizo ni nini? kama amuna sababu ya msingi ya nyie kufanyiana hivyo ma dear just do other thing achana nae..... hivi kuchuniana inakuwaje sijawahi fanya huo mchezo aiseeeeeeee. mimi ningekuwa nimeshajichanganya na kuachana nae

Nashindwa kujichanganya jamani, maana nikirudi nyumbani usiku nikiwa mwenyewe ni kulia tu mpaka naamka kichwa kinauma. Natahdi kumsau lakini wapi,
 
Pole sana hayo ndo mapenzi.
Dont take love too serious.
Mimi nimeacha chukua mapenzi serious maana yangeniua bure wakati maisha matamu.
Watu wengine wakishajua weakness yako ni upendo kwake baaasi jua atakuwa anakusumbua tu
 
Pole sana hayo ndo mapenzi.
Dont take love too serious.
Mimi nimeacha chukua mapenzi serious maana yangeniua bure wakati maisha matamu.
Watu wengine wakishajua weakness yako ni upendo kwake baaasi jua atakuwa anakusumbua tu

Asante nitajitahidi, na ni kweli anajua nampenda sana maan nimekuwa siufichi upendo wangu kwake. Nahisi kuchanganykiwa Mungu tu anipe nguvu.
 
kweli ukichukulia mapenzi.serious utakufa mapema... kama hapokei simu.futa na linamba lake muweke black list atakapokuja kuhangaika we unamuinjoi tu... hamna love hapo ni mbabaishaji tu huyo...
 
Kuumia ni lazima kwa mtu uliyempenda. Lakini kila kitu ni kwa kiasi na mipaka yake...... usiendelee kuumia kwa mtu asiyekupenda. Jipe moyo maumivu yataisha na utamsahau na kumpata anayekufaa. Umenielewa LAKI????
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom