M S A B Y P H
JF-Expert Member
- Sep 16, 2021
- 1,792
- 3,664
Aiseeh
Kosa lako lilianzia hapa!!!!!Ushauri niliofanyia kazi ilikuwa wa @Ugumu wangu ambae alinishauri nitenge muda wa kukaa na yule mwanamke then nimuulize kama ana malengo gani na Mimi na je, anaweza kuachana na huyo jamaa anaetaka kuanzana nae au lah?
Sasa kukosa kwako confidence kumekufanya umekuwa na insecurities na hzio zinakufanya uonekane needy king'!ang'anizi fulani hivi ...Baada ya week moja nilimuuliza "Vp yule jamaa umefanikiwa kumkwepa au bado anakusumbua?" Hapo tushaanza kusahau kisa chote Tena nikiamini kuwa hawana mawasiliano Tena, Mwanamke yule alinijibu "Sijui" Aisee jibu lake liliniumiza na kunifanya nirudi kwenye wasiwasi Tena "Hujui??" "Ndio sijui, kwani we unahisije" Dah! kauli Ile ilinipa hasira
Ukishindwa kujiamnini mwanamke ni lazima akudharau, na mwanamke akikudharau hawezi kuvutiwa kinapenzi na wewe wala hawezi kukupenda tena !! Na mara nyingi matokeo ya dharau ni pamoja na kukucheat tu!!!!alinunua smartphone yake, line mpya ambayo hata namba sikuijua Kisha akaweka patten kwenye lock screen, Duh! nikaanza kuwa na wasiwasi Tena, kweli mtu anaetafuta uaminifu kwa mtu aliemkosea kiasi kile kwanini anafanya hivi mbona mwanzo tuliwekana wazi Kila kitu, Nilipomuuliza alikuwa Mkali " Bwana nishabadili namba mpya Hana namba yangu Wala Sina yake Kila mtu kwa Sasa abaki na password za simu yake tuaminiane hivyohivyo tusichunguzane" Basi maneno Yale yalizidi kunipa wasiwasi sana kutaka kujua ni kwanini amefanya vile
Huyo mwanamke ana makosa ya kutokuwa mwaminifu kwako ..lakini na wewe pia una makosa au inawezekana kabisa wewe ndio ukawa chanzo cha huyo mwanamke kufika hapoAkili iliyonijia nilipamua kwanza kuchukua namba yake mpya aliyosajili bila yeye kujua, Kisha siku iliyofuata nilienda kusajili namba mpya Kisha niliinganisha WhatsApp Kisha nikaisave namba yake mpya kucheki WhatsApp nikaona nikaanza kumchatisha kama vile ni yule jamaa na majibu yalikuwa hivi
Mwanamke alionesha kumlalamikia jamaa kuwa anataka kuishi mbali na mimi kwani nimegundua Kila kitu hivyo namnyima amani.
Tena huyu ni fara grade 1Samahani na swali kwani wewe ni fara.?
Bado unaliaUkirejea katika Uzi huu > Nahisi mke wangu anani-cheat, nifanye nini kumkamata?
Ambao ni Uzi nilieleza jinsi mke wangu alipoanza kunicheat, Leo ni week ya 4 Sasa, Nimekuja na Muendelezo wa yaliyojiri baada ya Shauri nyingi zilizotoka kwenu wadau, Ushauri niliofanyia kazi ilikuwa wa Ugumu wangu ambae alinishauri nitenge muda wa kukaa na yule mwanamke then nimuulize kama ana malengo gani na Mimi na je, anaweza kuachana na huyo jamaa anaetaka kuanzana nae au lah?, Majibu yake yalionesha kukiri na kuahidi kuachana na jamaa yule Tena akilia sana, Jambo ambalo lilifanya nirudishe moyo wangu nyuma na kumsamehe huku nikizingatia jinsi tulivyotoka mbali pia, Nilimsamehe na Onyo Kali sana kuwa akirudia basi tutaachana.
Baada ya week moja nilimuuliza "Vp yule jamaa umefanikiwa kumkwepa au bado anakusumbua?" Hapo tushaanza kusahau kisa chote Tena nikiamini kuwa hawana mawasiliano Tena, Mwanamke yule alinijibu "Sijui" Aisee jibu lake liliniumiza na kunifanya nirudi kwenye wasiwasi Tena "Hujui??" "Ndio sijui, kwani we unahisije" Dah! kauli Ile ilinipa hasira nikajikuta nimechukua cm yake kuangalia je bado wanawasiliana?
Kurupushani ilianza kwani hakutaka niguse Simu yake ndipo nilitumia mabavu kwa kumpiga kibao Kisha nikaingia kwenye Call log na kukuta ni kweli kuwa bado wanawasiliana Tena wanaongea dk 10-15 japo namba haikuwa kaisave ila namba ya jamaa niliikariri Kutoka siku ya Kwanza Dah Jambo lile lilinipa hasira Hadi nikapasua Simu ya mke wangu, Kisha nikamgeukia kumuuliza kwanini ananifanyia vile, Yeye alijitetea kuwa jamaa ndie anaempigia, "Lakini kwani hukumuambia umeolewa???" "Hata kama ni boss wako je dk 10-15 mnaongea Nini Tena ubaya tarehe inaonesha hata Jana jumapili ni siku ya kazi lakini mmeongea zaidi ya dk 10 je, unaniona Mimi mtoto???"
DAH! Akili yangu ikaanza kunilaumu kwanini sikufuata Ushauri wa kuachana nae Ila Mwanamke yule alinituliza kwa kuniambia jamaa hua anaempigia kwa kuwa bado ana namba yake ila kwa kuwa nimeshapasua Simu yake na laini nimevunja basi atasajili nyingine na kununua Simu nyingine alafu nitathibitisha Hilo kwa kuwa Sasa jamaa hatokuwa na namba yake mpya, basi nilikubali kumsamehe Tena.
Baada ya siku tatu mwanamke akanunua Simu nyingine na kusajili namba mpya, ila Cha kushangaza alinunua smartphone yake, line mpya ambayo hata namba sikuijua Kisha akaweka patten kwenye lock screen,
Duh! nikaanza kuwa na wasiwasi Tena, kweli mtu anaetafuta uaminifu kwa mtu aliemkosea kiasi kile kwanini anafanya hivi mbona mwanzo tuliwekana wazi Kila kitu, Nilipomuuliza alikuwa Mkali " Bwana nishabadili namba mpya Hana namba yangu Wala Sina yake Kila mtu kwa Sasa abaki na password za simu yake tuaminiane hivyohivyo tusichunguzane" Basi maneno Yale yalizidi kunipa wasiwasi sana kutaka kujua ni kwanini amefanya vile? Je kweli ameachana na yule jamaa?
Akili iliyonijia nilipamua kwanza kuchukua namba yake mpya aliyosajili bila yeye kujua, Kisha siku iliyofuata nilienda kusajili namba mpya Kisha niliinganisha WhatsApp Kisha nikaisave namba yake mpya kucheki WhatsApp nikaona nikaanza kumchatisha kama vile ni yule jamaa na majibu yalikuwa hivi
Mwanamke alionesha kumlalamikia jamaa kuwa anataka kuishi mbali na mimi kwani nimegundua Kila kitu hivyo namnyima amani.
itaendelea.....
Ngoja nilie kwanza maana maumivu niliyopo nayo Aisee najuata kuingia mzima
Ukimaliza kulia kunywa kvant kubwa na piritonUkirejea katika Uzi huu > Nahisi mke wangu anani-cheat, nifanye nini kumkamata?
Ambao ni Uzi nilieleza jinsi mke wangu alipoanza kunicheat, Leo ni week ya 4 Sasa, Nimekuja na Muendelezo wa yaliyojiri baada ya Shauri nyingi zilizotoka kwenu wadau, Ushauri niliofanyia kazi ilikuwa wa Ugumu wangu ambae alinishauri nitenge muda wa kukaa na yule mwanamke then nimuulize kama ana malengo gani na Mimi na je, anaweza kuachana na huyo jamaa anaetaka kuanzana nae au lah?, Majibu yake yalionesha kukiri na kuahidi kuachana na jamaa yule Tena akilia sana, Jambo ambalo lilifanya nirudishe moyo wangu nyuma na kumsamehe huku nikizingatia jinsi tulivyotoka mbali pia, Nilimsamehe na Onyo Kali sana kuwa akirudia basi tutaachana.
Baada ya week moja nilimuuliza "Vp yule jamaa umefanikiwa kumkwepa au bado anakusumbua?" Hapo tushaanza kusahau kisa chote Tena nikiamini kuwa hawana mawasiliano Tena, Mwanamke yule alinijibu "Sijui" Aisee jibu lake liliniumiza na kunifanya nirudi kwenye wasiwasi Tena "Hujui??" "Ndio sijui, kwani we unahisije" Dah! kauli Ile ilinipa hasira nikajikuta nimechukua cm yake kuangalia je bado wanawasiliana?
Kurupushani ilianza kwani hakutaka niguse Simu yake ndipo nilitumia mabavu kwa kumpiga kibao Kisha nikaingia kwenye Call log na kukuta ni kweli kuwa bado wanawasiliana Tena wanaongea dk 10-15 japo namba haikuwa kaisave ila namba ya jamaa niliikariri Kutoka siku ya Kwanza Dah Jambo lile lilinipa hasira Hadi nikapasua Simu ya mke wangu, Kisha nikamgeukia kumuuliza kwanini ananifanyia vile, Yeye alijitetea kuwa jamaa ndie anaempigia, "Lakini kwani hukumuambia umeolewa???" "Hata kama ni boss wako je dk 10-15 mnaongea Nini Tena ubaya tarehe inaonesha hata Jana jumapili ni siku ya kazi lakini mmeongea zaidi ya dk 10 je, unaniona Mimi mtoto???"
DAH! Akili yangu ikaanza kunilaumu kwanini sikufuata Ushauri wa kuachana nae Ila Mwanamke yule alinituliza kwa kuniambia jamaa hua anaempigia kwa kuwa bado ana namba yake ila kwa kuwa nimeshapasua Simu yake na laini nimevunja basi atasajili nyingine na kununua Simu nyingine alafu nitathibitisha Hilo kwa kuwa Sasa jamaa hatokuwa na namba yake mpya, basi nilikubali kumsamehe Tena.
Baada ya siku tatu mwanamke akanunua Simu nyingine na kusajili namba mpya, ila Cha kushangaza alinunua smartphone yake, line mpya ambayo hata namba sikuijua Kisha akaweka patten kwenye lock screen,
Duh! nikaanza kuwa na wasiwasi Tena, kweli mtu anaetafuta uaminifu kwa mtu aliemkosea kiasi kile kwanini anafanya hivi mbona mwanzo tuliwekana wazi Kila kitu, Nilipomuuliza alikuwa Mkali " Bwana nishabadili namba mpya Hana namba yangu Wala Sina yake Kila mtu kwa Sasa abaki na password za simu yake tuaminiane hivyohivyo tusichunguzane" Basi maneno Yale yalizidi kunipa wasiwasi sana kutaka kujua ni kwanini amefanya vile? Je kweli ameachana na yule jamaa?
Akili iliyonijia nilipamua kwanza kuchukua namba yake mpya aliyosajili bila yeye kujua, Kisha siku iliyofuata nilienda kusajili namba mpya Kisha niliinganisha WhatsApp Kisha nikaisave namba yake mpya kucheki WhatsApp nikaona nikaanza kumchatisha kama vile ni yule jamaa na majibu yalikuwa hivi
Mwanamke alionesha kumlalamikia jamaa kuwa anataka kuishi mbali na mimi kwani nimegundua Kila kitu hivyo namnyima amani.
itaendelea.....
Ngoja nilie kwanza maana maumivu niliyopo nayo Aisee najuata kuingia mzima
Ukiwaa mwanaume kuna wakati unatakiwa uwe katili ile mbaya...we jamaa uko soft sana wanawake hawapendag watu kama wewe badilika na piga chini huyo malaya haraka sana.....Kuna jamaa mmoja yalimkuta kama haya. Alichofanya, aliaga anaenda kwenye msiba wa rafiki yake. Hakurudi tena.
Wengine wanasema ameonekana sehemu na mji mpya. Bibie anahaha, hajua la kufanya.
Nachoweza kusema: Angalia thamani ya maisha yako binafsi. Jitafakari, halafu fanya maamuzi ukiangalia kesho yako.
🤣🤣🤣Vp hali yako kwa sasa Unaendeleaje!!