georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,868
ndugu yangu ana maumivu makali mwili mzima kwa miaka 10 sasa. Maumivu ni makali zaidi usiku. Anajisikia kuchoka sana na kujisikia usingizi hasa mchana. Anatoka jasho kwa wingi na lina harufu kali. Hapati choo sawasawa licha ya kula vyakula vya asili, mbogamboga na kunywa maji mengi. Je ana tatizo gani ndugu yangu huyu? Naombeni msaada jf doctors.