mfereji maringo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 1,037
- 250
jamani wadau nimeoa sasa ni wiki ya pili, mke wangu toka juzi analalamika kuwa anahisi maumivu makali chini ya kinena wakati wa kukojoa, mwanzo nilimwamwambia maumivu yataisha kwani pengine yanatokana na uroda kila siku na kwa kuwa mwili haujazoea hali hiyo itaisha, lkn hali inaendelea. je sababu ni nini? na nini kifanyike?