Maumivu baada ya kukojoa

Maumivu baada ya kukojoa

UTI nyingine inakuwa ni ugonjwa sugu sana kukubali dawa na unajirudia baada ya dawa. Zingatia usafi wa mwili na choo. Mwone tabibu mzoefu akishauri dawà nzuri na inaweza kuwa kwa hadi wiki mbili badala ya siku 5 au7.
 
Subiri umalize na dawa pia jitahidi choo unayotumia iwe clean muda wote nyie wanawake maungo ni rahisi sana Escherichia coli au E COLI kuingia tofauti na sisi wanaume ushauri wangu ni huo tu

Asante kwa ushauri mzuri
 
Maliza kwanza dawa, na sindano ni aina gani au dawa ulizopatiwa?, pia ni muhimu kufanya vipimo vya magonjwa yote ya zinaa, maana hili kundi lina aina nying ya magonjwa na yana dalili zinazofanana , UTI ni basic watu wengi hukutwa nayo kwahyo checkup zaidi ni muhimu
 
Ushauri wa bure, Kama umeanza na barabara ya vumbi hakikisha unaishia huko huko. Sio Mara kwenye vumbi halafu unachomeka halali halafu UNARUDI Tena mavumbini. Ukifanya hivyo unatoa magonjwa kwenye barabara ya vumbi na kuyaingiza ukweni.
Kuna wanawake wengine wanakula koni wakati mtu ndio kwanza katokea mavumbini. Kwa ujinga huo magonjwa yataacha kuwasakama?
 
Back
Top Bottom