Maulidi ya Mfungo Sita Uchaggani, 1950s

Maulidi ya Mfungo Sita Uchaggani, 1950s

Mohamed Said,
katika mkoa wa Kilimanjaro idadi kubwa ya Waislamu wako Upareni ktk wilaya za Same na Mwanga. Kwa mfano, wapo Machifu / Wafumwa wa Kipare ambao walikuwa waumini wa dini ya Kiislamu. Pia Waislamu wa Upare walikuwa na mchango mkubwa sana ktk suala zima la elimu. Inaripotiwa kwamba mwaka 1961 Upare Muslim Association ilikuwa na shule 27. makala yako inaelekeza kwamba Uislamu uliingia Uchagani halafu ukaenda Upareni lakini kuna simulizi mbalimbali zinazoelekeza kwamba Uislamu ulikuwepo Upareni kabla hata ya ujio wa Wajerumani.
Mkuu utapata Shida sana kwa huyu Mzee... Anaokoteza tu story za watu and then anasema history ndio ilikuwa hivyo but anatakiwa atambue kuwa You can't change the history yaani History can't be changed.
 
Mohamed Said,
katika mkoa wa Kilimanjaro idadi kubwa ya Waislamu wako Upareni ktk wilaya za Same na Mwanga. Kwa mfano, wapo Machifu / Wafumwa wa Kipare ambao walikuwa waumini wa dini ya Kiislamu. Pia Waislamu wa Upare walikuwa na mchango mkubwa sana ktk suala zima la elimu. Inaripotiwa kwamba mwaka 1961 Upare Muslim Association ilikuwa na shule 27. makala yako inaelekeza kwamba Uislamu uliingia Uchagani halafu ukaenda Upareni lakini kuna simulizi mbalimbali zinazoelekeza kwamba Uislamu ulikuwepo Upareni kabla hata ya ujio wa Wajerumani.
Bangusule,
Inawezekana sana ni kutafiti tu historia itapatikana.
 
Mkuu utapata Shida sana kwa huyu Mzee... Anaokoteza tu story za watu and then anasema history ndio ilikuwa hivyo but anatakiwa atambue kuwa You can't change the history yaani History can't be changed.
Mlaleo,
Hapana siokotezi huwa nafanya utafiti wa kutosha.

Historia ya Rajabu Ibrahim Kirama nimepitia nyaraka zake zinakaribia miaka 100.

Ukisoma kitabu utaziona katika rejea.

Mimi nimeweza kubadili historia.

Nimebadili historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika yote katika kitabu cha Abdulwahid Sykes kilichochapwa London 1998.

Ukiwa hujakisoma kisome.
 
Mlaleo,
Hapana siokotezi huwa nafanya utafiti wa kutosha.

Hadi sasa nina vitabu 10 katika jina langu na miswada kadhaa inayosubiri In Shaa Allah kuchapwa vitabu.

Baadhi ya vitabu vyangu vimechapwa na Oxford University Press, Nairobi na New York.

Hawa hawachapi vitu chembelecho vya "kuokoteza."

Inawezekana roho yako inauma labda kwa hasad tu ndani ya nafsi yako.

Historia ya Rajabu Ibrahim Kirama nimepitia nyaraka zake zinazokaribia miaka 100.

Ukisoma kitabu utaziona katika rejea.

Ama kuhusu kubadili historia.

Mimi nimeweza kubadili historia.

Nimebadili historia yote ya TANU na uhuru wa Tanganyika na historia ya Nyerere yote katika kitabu cha Abdulwahid Sykes kilichochapwa London 1998.

Ukiwa hujakisoma kisome.
Mlaleo kitabu ni hicho toleo la tatu Kiingereza.
Screenshot_20201105-054522.jpg
 
Back
Top Bottom