Maudhi ya operesheni kimbunga!!

Breaking News:Operation Kimbunga ya wahamiaji haramu yasitishwa!
Serikali ya tanzania imesitisha rasmi opeartion kimbunga ya kuwasaka wahamiaji haramu hasa katika mikoa ya kagera na kigoma na tayari makamanda wa vikosi wote waliokuwa katika hiyo operation wameondolewa kwa amri ya Rais Kikwete.

Hata hivyo kwa mjibu wa kaimu kamanda wa kikosi cha operation simon siro amesema kuwa hivi sasa wamesitisha operation kimbunga tangu septemba 22,2013 kwa kutumia mfumo waliokuwa wakiutumia na sasa kazi kubwa itakuwa kwa watendaji wa vijiji na mitaa kuhakikisha wale waliorudi makwao hawarejei tena.


Zoezi hili limekuwa na malalamiko makubwa kutoka kwa wadau kwamab halikufuata haki za binadamu



funza,

  1. murutongore


  1. View Profile



  1. Today 08:11
  2. #80
  3. JF Senior Expert Member Array


    • Join Date : 29th June 2013
      Location : Kigs
      Posts : 328

    Rep Power : 475
    Likes Received100
    Likes Given192
  4. [h=2]
    Re: Maudhi ya operesheni kimbunga!![/h]

    By life is short

    with high respect mkuu, umeongea kwa hekima na busara " yaonekana serikali haykulisoma na kulitafakari jambo hili "
    kukurupuka kwao kutazaa tija na matokeo yasiyo tatulika... Yaani human disaster ! Si ajabu hasara zake ni kubwa kuliko walivyotegemea. Watanzania tupo pamoja na mungu atusaidie.



    big results now​



    "You cannot choose to which parents you are born to but you can choose which person you can be".
  5. Reply
    Reply With Quote
    Send PM


 

...inaelekea ile ya hatua ya kusanya-kusanya imeisha.

..wameelekea kwenye hatua ya kuhakikisha watendaji wa vijiji wanawafichua/kuwatambua wahamiaji haramu ktk kata zao.

..inavyoelekea uhamiaji haramu unalipa kwa hawa majirani zetu. sasa serikali inatakiwa iweke mazingira ambayo yanahakikisha hasara kwa mhamiaji haramu. Marekani na Uingereza wana mfumo unaonyima ajira wahamiaji haramu. Pia wanatoza faini kubwa kwa makampuni yanayoajiri wahamiaji haramu.
 
Ni kweli Tanzania bila hongo mambo hayakai sawa ni mwendo wa toa kitu upate kitu aliyepewa jukumu huzingatia tumbo lake kwanza kisha serikari baadae hivyo kutokomeza wahamiaji haramu ni ndoto ya mchana hivyo Vitambulisho vya Uraia wageni watavipata tu hata vya kugushi vitaibuka usije kushangaa wahamiaji haramu wakawa wazawa wa hiari
 
Wala haishangazi kusikia kuwa "OPERATION KIMBUNGA" imesitishwa! Walioibuka nayo walikurupuka kama walivyokurupushwa kuja na kauli mbiu ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA!

"Akili ndogo zikishika hatamu kila mtu atajua tu...yaani ubabe tu bila busara na maarifa" (Solar, 2013).
 
Wakenya na wanyaruanda wamekaa kujisifu kuwa nchi zao ziko juu kuliko Tanzania halafu wanakuja kuzamia huku kwetu. Watimuliwe tu. hakuna cha EAC wala nini. Kama nchi zenu zimepiga hatua sasa mnataka nini hapa bongo? Muanzisha mada lazima atakua mjaluo alie zamia bongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…